mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Kama vile Gwajima na UNO.Huyo nabii anavijisenti vya kitapeli ndio maana CDM wanakikimbilia. Si unajua makamanda nI pesa na sawa na mgonjwa na UJI!
Kama vile Gwajima na UNO.Huyo nabii anavijisenti vya kitapeli ndio maana CDM wanakikimbilia. Si unajua makamanda nI pesa na sawa na mgonjwa na UJI!
Unaunga mkono rushwa zinazomwagwa ccm ?You are out of context, hivyo sina muda wa kujibu non- contextual issues unazo taka kuziibua, HALAFU jaribu kuleta HOJA siyo VIHOJA NA VIOJA!
Najua kuwa huwezi kujibu ndio maana nikakupeleka huko makusudi,CCM bila Rushwa isingefika hapa ilipo.You are out of context, hivyo sina muda wa kujibu non- contextual issues unazo taka kuziibua, HALAFU jaribu kuleta HOJA siyo VIHOJA NA VIOJA!
Nakuheshimu sana ila ukitaka nikuvunjie heshima nitafanya hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wengineAlitapeli nini ?
Kama wananchi wanakubaliana na matapeli wa CCM, acha tu na Chadema nao waweke matapeli, si ndio hao mnawataka?Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
Acha mkwara, jibu alitapeli nini? Acha kuzushia watu...Nakuheshimu sana ila ukitaka nikuvunjie heshima nitafanya hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wengine
Okey, hivi unajua baba yake ni RPCyuko huru
Kumikutapeli nini? Kama huna cha kuzungumza uwe unakaa kimya, lete ushahidi.Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
Mtu akiwa ana mafanikio tu basi ni tapeli, kwanini na wewe usitapeli basi uwe tajiri? Umasikini ni mzigo kweli kweli kama wewe huzipati shilingi wengine wanazipataIla hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
NajuaOkey, hivi unajua baba yake ni RPC
Sijawahi kuogopa kutukanwa wala kuvunjiwa heshima , nifuatilie vizuri , ila kwa kuuliza tu kwamba alitapeli nini nimekosea wapi kiasi cha wewe kujiapiza kuvunja heshima ? yaani kosa langu ni kuuliza kwamba ametapeli nini ?Nakuheshimu sana ila ukitaka nikuvunjie heshima nitafanya hivyo jifunze kuheshimu mawazo ya wengine
Nimeshakwambia huyu ni tapeli wewe elewa hivyo maana hata nilikuambia anayofanya utaomba ushahidi, ina maana na uzoefu wako wote katika siasa unaona Shillah anafaa kabisa kuwa Mbunge na ujinga wote huu anaoufanya kutafuta umaarufu kwa nguvu.Sijawahi kuogopa kutukanwa wala kuvunjiwa heshima , nifuatilie vizuri , ila kwa kuuliza tu kwamba alitapeli nini nimekosea wapi kiasi cha wewe kujiapiza kuvunja heshima ? yaani kosa langu ni kuuliza kwamba ametapeli nini ?
au umeniquote kwa bahati mbaya ?
Umetumwa wewe si bureMtu akiwa ana mafanikio tu basi ni tapeli, kwanini na wewe usitapeli basi uwe tajiri? Umasikini ni mzigo kweli kweli kama wewe huzipati shilingi wengine wanazipata
Huyo ni mtia nia njoo na mgombea wako mlete uchafu wa Shilla kwenye vikao ajadiliwe , vinginevyo hizi zitakuwa porojo tuNimeshakwambia huyu ni tapeli wewe elewa hivyo maana hata nilikuambia anayofanya utaomba ushahidi, ina maana na uzoefu wako wote katika siasa unaona Shillah anafaa kabisa kuwa Mbunge na ujinga wote huu anaoufanya kutafuta umaarufu kwa nguvu.
Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
Tatizo kubwa sana la CHADEMA kama chama kwa ujumla wake wanapenda sana kuishuari serikali na ushauri wao ukikataliwa na serikali watapiga kelele kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wao wa mwisho chini kabisa. Ila wao ukiwashauri badala aidha waukubali shauri wako au waukatae matokeo yake utakoga matusi ya kila aina. Hawapendi kabisa kuambiwa ukweli sijui nani kawaloga.Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu
No research No right to coment.You are out of context, hivyo sina muda wa kujibu non- contextual issues unazo taka kuziibua, HALAFU jaribu kuleta HOJA siyo VIHOJA NA VIOJA!
endelea kuunga mkono Chadema ni chama makini sana , Dr Slaa uliyemuabudu alinunuliwa na kuhongwa ubalozi , na hivi tunavyoongea yuko chama kimoja na Sumaye na Lowassa aliodai kuwakimbia ChademaTatizo kubwa sana la CHADEMA kama chama kwa ujumla wake wanapenda sana kuishuari serikali na ushauri wao ukikataliwa na serikali watapiga kelele kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wao wa mwisho chini kabisa. Ila wao ukiwashauri badala aidha waukubali shauri wako au waukatae matokeo yake utakoga matusi ya kila aina. Hawapendi kabisa kuambiwa ukweli sijui nani kawaloga.
Ki ukweli Vetting ya Chadema aliondoka nayo Dr. Slaa. Nilikuwa naiona CHADEMA kama taasisi kubwa sana kwa miaka takribani 10 iliyopita lakini nimekuja kugundua tofauti kabisa na ninavyozani baada ya kuwaona wanavyomshangilia huyu jamaa mitandaoni. Nilitegemea mpaka sasa kuwa CHADEMA iwe imeshaandaa kizazi kingine makini cha kuwasaidia wakina Halima Mdee, Mnyika, Heche, n.k. Kwenye uchaguzi wa mwaka huu wakiendelea kuokotaokota kama walivyoanza sasa wajiandae na anguko kubwa sana litakalotokana na wagombea wao wengi kujitoa dakika za mwishoni na kuwaacha wapinzani wao kupita bila kupingwa. Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone.