Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,990
- 13,645
Ukute ndo anampiga mwanao hivyo, then ukagundua tena analala na mume wako.! Nimewaza tu.
Kheee mim bovu lilishanitoka et!!Ni kweli kabisa tuwe makini na wasichana wa kazi. Kwa kuwalipa vizuri na kuwajali.
Kuhusu Video hiyo: NI FAKE. SIO KWELI HILO NI IGIZO TU. PICHA ZINONESHA KUNA MUUNGANISHAJI WA PICHA NYINGI ILIWAMO YA HILO CATOON KAMA MTOTO.
Lakini sio mbaya igizo hilo limeeleweka na linafunzo.
Huyu mtoto au mdoli..??
Mbona sioni vizuri.[/QUOTE
mi naona kama mdoli mkuu, na wameifanya isionekane vizuri...wametuingiza mjini hawa jamaa
Ukiangalia hivyo video utaona ilikuwa inacheza kwa maana mtu alikuwa anachukua. ingekuwa ni kamera ya kutegeshwa kusingekuwa kuna kushake kwa picha. Na hisi ni igizo tu hili sasa lakini linaelimisha na hicho anachopiga ni mdori lakini kuna sauti ya mtoto iliyokwisha kurekodiwaWakati anamfanyia huo ukatili alijitegeshea kamera au kuna mtu alikuwa akichukua hilo tukio?
NI kumchukulia hatua kali za kisheria tu...hyo dada wa kaziaisee Mungu anisamehe, cjui ningefanyaje?