VIDEO: Makambi ya Red Brigade kuanza wiki ijayo

VIDEO: Makambi ya Red Brigade kuanza wiki ijayo

Nimecheka sana....mwigulu bana....ujasiriamali na bunduki sio....dah
 
Huyu jamaa ni mzushi,amejirithisha ukiBwetere
 
Kila la kheri CDM. Mungu awaongoze vema.

Hata mimi nyumbani nafanya mpango wa kupata bunduki ya kujilinda.
 
Hata CCM tukishaingoa madarakani basi kila MTanzania atakuwa na makovu au ameliwahi kukaa jela Lisa Huyu FISADI Mwingulu Nchemba. Lakini tunaamini kuwa CCM kufa kwake ni uchaguzi wa 2014 na kuzikwa uchaguzi Mkuu 2015
 
Wanachimba kaburi la kuwazika wenyewe twende kazi mungu yupo tutaona.
 
Kuchanganyikiwa na maisha ni kitu kibaya sana chadema wanasumbuliwa na njaa ya madaraka na ugumu wa maisha.
 
Kuchanganyikiwa na maisha ni kitu kibaya sana chadema wanasumbuliwa na njaa ya madaraka na ugumu wa maisha.

aiseee wafanyakaz wa uhuru hawajalipwa mishahara wanamaisha magumu hata pesa ya kununua maji ya kuflash ........ hamna sasa waka pup wapi? wanalalamika jamvini hebu kaokoe jahazi mara moja
 
mtahangaika sana na chadema kila kukicha mnazua jambo ugaidi mmeshindwa,sasa redbrigade mnasumbuka sana hiyo ni danadana udiwani mwakani mlie tu redbrigade watalinda kura zetu patamu hapo
 
[QUOTE=Simiyu yetu;6853471WEKA MAUMIVU YAKO MWAKANI UCHAGUZI WA UDIWANI REDBRIGADE NCHI NZIMA WALAHI HAMPONI
 
Kuna mwaka,nafikiri 2011 huko Moshi,vijana wa CCM waliotoka kwenye hayo mafunzo yao walipiga watu maeneo ya hospitali ya KCMC,hata wagonjwa.Waliingia mpaka kwenye chumba cha kuhifadhia damu salama.Sijui ndo ujasiria mali wenyewe wa kumwaga damu za watu.Mwandishi wa kampuni ya Mwananchi Habari naye alipigwa(nimemsahau jina lake),baadaye nilisikia alipotea.Sijui kilichoendelea kuhusu huyo mwandishi.
 
Huyu jamaa ni mzushi,amejirithisha ukiBwetere
Kigailla amewashika pabaya mkuu. Umeisikiliza hiyo video hadi mwisho? Mnawafundisha watoto ujasiliamali halafu mnawapa matoi ya slaha, ili wajifunze kuteka mabasi? Ni ujasiliamali gani unahusisha kushika silaha?
 
An empty tin always makes most noise.

Nguvu za kuongea nyingi, action bupkis.
 
Ukiangalia hii video unajiuliza ni nani alimshauri JK kukurupuka vile... sometimes nahisi kama CCM wanajihujumu wenyewe kwa maamuzi ya kukurupuka halafu wanazidiwa uelewa au hata malumbano ya hoja

this was a very simple thing sasa imekuzwa kutokana na ujinga wa siasa...

SIJUI SASA NIWANASIASA WOTE WAMEKUA KAMA POLISI AU POLISI WAMEKUA KAMA WANASIASA, NI KAMA VILE AKILI ZAO ZINAINGILIANA TU, HAKUNA TENA PROFESSIONALISM, LEADERSHIP WALA SOCIAL JUSTICE GUARDS NDANI YA CHAMA TAWALA

SIJUI AMEBAKI NANI SASA

NIKIKUMBUKA TENA NA YA NDUGU YANGU MBATIA ANAYEJUA KUPAZA SAUTI NA KUTEMA MATE HOVYO KILA AKIONGEA NDIO NACHOKA KABISA, BORA HATA NDUGU YETU LIPUMBA ALIYEAMUA KULISHA VIAPO WAUMINI WAPIGIE KURA CHAMA CHAKE
 
hebu muangalieni vizuri...
hii sura hiiiiiiiii...
mh!!!!!!
hata hawa waliomzunguka wana ujasiri wa kutosha, mbona kama kavaa bomu huyu!!!
tukifuatilia kwa makini tutaambiwa alipata mafunzo hapo jirani SOMALIA
 
Back
Top Bottom