magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Wanajamvi
Salaam. Maalim Seif amemshangaa Prof.Lipumba kuacha kueleza sababu zilizomfanya aondoke CUF,badala yake ameanza kudanganya na kutafuta sababu za uongo.
My take: Hii tabia ya ubaguzi aliyoianzisha prof.haipaswi kufumbiwa macho. Cuf ina wanachama bara na visiwani aache kukigawa chama vipande vipande.
Salaam. Maalim Seif amemshangaa Prof.Lipumba kuacha kueleza sababu zilizomfanya aondoke CUF,badala yake ameanza kudanganya na kutafuta sababu za uongo.
My take: Hii tabia ya ubaguzi aliyoianzisha prof.haipaswi kufumbiwa macho. Cuf ina wanachama bara na visiwani aache kukigawa chama vipande vipande.