Video: Maajabu ya kisima kinachowaka katika ya maji

Video: Maajabu ya kisima kinachowaka katika ya maji

Mi nipo huku, sijasikia hiyo kitu, zaidi ya uvumbiz wa dhahabu maeneo ya kuanzia ramadhani, mgodechi ,usita,mpaka utalingolo
 
Nami nimetumiwa nimeambiwa ipo Kifanya mkoani njombe, lakini kila nikiwauliza Kifanya Sehemu gani hawanipi jibu, Mlioko Kifanya ndio inabidi mukitafute hicho Kisima Kama kweli Kipo Kifanya hapo.
Kwa hiyo ulipotumiwa nawe ukakurupuka kutuma bila hata kujiuliza kama kuna ka ukweli... acha hizo wewe.
 
Mussa Akaambiwa hapo ni mahali patakatifu Vua viatu vyako na usujudu...!
Ndio Bible Story hizo na Koran ilivyoikopy
 
Nimependa huu mchango wako ila naomba udadavue kiundani zaidi Mkuu

Mkuu ni kwamba hii dunia ardhi ya bahari na nchi kavu imeumba kwa blocks mfano vigae ambavo vyaelea kwa fluid kama uji inaitwa lava iko hivyo kutokana na joto kali chini ya aridhi.
Sasa iyo lava ikipata upenyo ikapanda juu pindi hizo blocks zikisogea kutokana na movement ya hiyo lava, blocks zatengeneza vyufa ndo hiyo lava yalipuka ikipanda aridhini kwetu joto ni dogo hivyo hupoa na kutengeneza milima kama kilimanjaro, goma, au visiwa kama vya japani au pemba.
Movement ya lava ndio inasababisha sana earthquakes mfsno tsunami
Sasa hiyo lava ikipanda na kutofika juu inatengeneza vi resevoir ambavyo hutape maji ,maji hayo huchemka na kuruka pindi joto la lava na movement zake zinapotokea chini ya kokwa la dunia mkuu.
 
Sijui kwa nini lakini nimeona kama picha duka.......haya macho yangu haya ni ya kung'oa sasa........
 
Back
Top Bottom