Video: Maajabu ya kisima kinachowaka katika ya maji

Video: Maajabu ya kisima kinachowaka katika ya maji

Serikali yenye akili ingeshachunguza na kufanya documentaries mbali mbali juu ya sehemu hiyo ili kujua historia na mwelekeo wa hali hiyo kwa maisha ya sasa na baadaye ye viumbe hai katika eneo hilo.

Ama ninashangaa kwa nini hiyo sehemu haijahifadhiwa vizuri kama sehemu chache za mambo tofauti ndani ya nchi.

Ulichosema ni sahihi kabisa, tupo tofauti kabisa na Kenya ambako wenzetu kila kitu cha ajabu wanakichukulia kama fursa na kujiongezea kipato
 
Kaka Mi natokea Kifanya mtaa wa kibondeni kwa Mzee kindimba karibu na kwa Mtewele pale,hebu nielekeze hicho kitu kiko mtaa gani
Itengule
Mtambalala
Chahucha
Ivangalala
Mapera
Kibondeni
Luhota
kiwaga juu au kiwaga?
Au kiko mtaa gani?

Nimezaliwa pale nimekua pale nimesoma pale nimeondoka juzi tu na sijawahi kusikia wala kuona.
umemshika uchawi ha ha ha
 
Prof. Sospeter Muhongo alikuwa huko few days ago, hapo tunaweza kutengeneza kinu cha kufua umeme mwingi tu
 
naamini hiyo ni gesi asilia mwamba wake umetoboka na kufanya ionekane kwa juu ikiwaka
 
Nahisi itakuwa mitaa ya moro vijijini hasa matombo mgeta, antonio nugaz alisharusha kwa tv vitu ka hivyo ,maji yanachemka ila majani

Morogoro moja ipo kule Kisaki Stesheni TAZARA LINE, Si mbali sana kutoka Stesheni
 
Prof. Sospeter Muhongo alikuwa huko few days ago, hapo tunaweza kutengeneza kinu cha kufua umeme mwingi tu

Kwa hiyo ni Kifanya ipi, hasa yaani ni maeneo gani ya Kifanya? Kuna mdau mmoja hapo juu ametajja maeneo tofauti ya Kifanya, je ipi kati ya hizo.?
 
Kwa kweli tumechelewa Sana, pangetangazwa vya kutosha pesa ya elimu bure ingepatika hapo, hayo ni mapesa tunayataza amazing, tungepata watalii hadi tungekosa pa kuwaweka, mimi binafsi nimekaaa njombe miaka miwili ila sijawahi kusikia hicho kitu, du Tanzania ni pori la pesa.
 
Hiyo ni hot spring mkuu ni vitu natural ukiona hivyo ujue kuna ufa kuelekea earth core, hivyo usishangae siku mlima kama kilimanjaro ukatokea hapo
Nimependa huu mchango wako ila naomba udadavue kiundani zaidi Mkuu
 
Kwa hiyo ni Kifanya ipi, hasa yaani ni maeneo gani ya Kifanya? Kuna mdau mmoja hapo juu ametajja maeneo tofauti ya Kifanya, je ipi kati ya hizo.?

Chakochangu, Sijajua ni eneo gani nashangaa mleta mada hajapambanua vilivyo, ni kama naye ni wakala wa wasiotaka hicho kisima kijulikane, nimeishi Njombe kwa miaka zaidi ya 15 sijawahi kusikia hiyo habari, labda tumsihi arejee hapa kutoa ufafanuzi wa mahali kilipo

Mwanga lutila, Be mdimi piluhe apa ulonge wunofu, avanu viwudza visaha hwadza uho!!!
 
Mkuu acha fix mimi nimesoma hapo na nimekulia hapo ni kijijini kwa bibi mzaa mamaa but sijawahi sikia wala kuona hiyo labda imeanza juzi juzi hiyo kitu hebu ntajie hicho kisima kipo sehem gani nimpigie simu binamu yangu anihakikishie kama ni kwelii.[/QUOTE]
 
Hiyo kitu imesha wahi tokea kifanya nadhani miaka kama 10 iliyopita pembezoni mwa mlima kifanya.... Volcano eruption
Nimeishi kifanya mwaka mzima ndo nasikia leo kwenye hui uzi.ni uongo uliotukuka
Kifanya haijawahi tokea kitu kama hicho
Miaka kumi iliyopita mlima Kifanya ulitoa lava lakini haikuwa na nguvu ya kuja kutokea kileleni kwa hiyo ilitawanyika bondeni huko ambako wakazi wanalima bustani za maharage maarufu kama vinyungu,ninachokumbuka ni kwamba ulikuwa tu kitu kama udongo mweupe sanaaaa uliochanganyikana na chembe nyeupe nilikuwa darasa la saba kipindi hicho,baadae nilikuja kusoma kuwa ni "quartz" madini yanayotumika kutengenezea machemli ya taa za mafuta,kwahiyo hakukuwa na moto wala lava hiyo haikuwa ya moto ilikuwa ni cold lava.


Nisimulie sasa baadhi ya maajabu ya mlima Kifanya na maeneo ya jirani na mambo yake za ajabu.

Zamani juu ya mlima huu kulikuwako na kijimsitu kidogo sana ingawa kipo mpka Leo ila kimeshaharibiwa kidogo,kulikuwako na kuku wengi weupe waliokuwa wakiishi huko bila kufugwa na mtu yeyote,ilikuwa unaruhusiwa kuenda huko na ukitaka ukamkamata na kumla huko juu ni Sawa ila sharti usishuke nao kabisa,nakumbuka kila ikifika msimu wa mavuno wakulima walioondoka Kifanya kwenda kulima Dodoma walikuwa wanarudi kufanya matambiko huko juu na sharti kuwa kuku wa kutumiwa ni wa hukohuko mlimani,hili nimeshuhudia kwa macho yangu ingawa kwa sasa hakuna Tena Hayo mambo baada ya makampuni ya Simu Kujenga minara kwa Hayo watu wengi wanafika na eneo kubwa kukaribia kileleni kumepandwa miti ya mbao.
Nilifanya ziara kule nikiwa la saba ila majibu mengi nimekuja kupata baada ya kuwa sekondari na chuo.
Maana kuhusu lava kulikuwa na imani potofu nyingi sana kumbe ilikuwa ni kitu rahisi sana.

Ziko stori nyingine kuhusu sehemu inayoitwa "matundu ga simba"


Kuhusu mzungu aliyefika kulima viazi liwengi na kupotea ghafla baada ya kupata Mali iliyoachwa na babu zake zamani,aliacha kila kitu kuanzia Matrekta,greda na miundombinu yoootee.Story nzuri sana hii kwa wanaoijua.

Kuna Habari kuhusu kuwako kwa madini ya uranium eneo la mpocho ambako mambo ya ajabu hutokea eneo hilo.

Story kuhusu igaba,ngo'ongwa na lyaso.
Zote ninazo.


Hiyo ya kisima sijawahi sikia,labda imetokea miezi ya karibuni hivi baada ya Mimi kuja kutafuta riziki mikoa ya watu
 
Kuhusu mzungu aliyefika kulima viazi liwengi na kupotea ghafla baada ya kupata Mali iliyoachwa na babu zake zamani,aliacha kila kitu kuanzia Matrekta,greda na miundombinu yoootee.Story nzuri sana hii kwa wanaoijua.

Kuna Habari kuhusu kuwako kwa madini ya uranium eneo la mpocho ambako mambo ya ajabu hutokea eneo hilo.

Story kuhusu igaba,ngo'ongwa na lyaso.
Zote ninazo


Umedocument kwa faida ya vizazi vijavyo? waonaje tuanzishe mfuko maalumu kwa ajili ya shughuli hiyo ikiwa ni pamoja na ile ya nyumba nitu maana nasikia nako kulikuwa na kuku wa aina hiyo ya hao wa mlimani Kifanya
 
Kaka Mi natokea Kifanya mtaa wa kibondeni kwa Mzee kindimba karibu na kwa Mtewele pale,hebu nielekeze hicho kitu kiko mtaa gani
Itengule
Mtambalala
Chahucha
Ivangalala
Mapera
Kibondeni
Luhota
kiwaga juu au kiwaga?
Au kiko mtaa gani?

Nimezaliwa pale nimekua pale nimesoma pale nimeondoka juzi tu na sijawahi kusikia wala kuona.


Tamani ni wewe ninaye kujua mdogo wake nice?? Mimi mwenyewe nimekulia pale kf na sijawahisikia kuhusu huo mto mleta mada ni mwongo wa kutupwa japo nilikuwepo huko miaka 15 iliyopita labda kimeanza juzi juzi ila ningepata taarifa tuu.
 
Chakochangu, Sijajua ni eneo gani nashangaa mleta mada hajapambanua vilivyo, ni kama naye ni wakala wa wasiotaka hicho kisima kijulikane, nimeishi Njombe kwa miaka zaidi ya 15 sijawahi kusikia hiyo habari, labda tumsihi arejee hapa kutoa ufafanuzi wa mahali kilipo

Mwanga lutila, Be mdimi piluhe apa ulonge wunofu, avanu viwudza visaha hwadza uho!!!

Tuhongiche .
 
Tanzania ni nchi iliyo na vivutio vingi lakini sijui ndo hatujui kuvitumia!
 
Umedocument kwa faida ya vizazi vijavyo? waonaje tuanzishe mfuko maalumu kwa ajili ya shughuli hiyo ikiwa ni pamoja na ile ya nyumba nitu maana nasikia nako kulikuwa na kuku wa aina hiyo ya hao wa mlimani Kifanya
Kuna wanaofanya kazi hizo mkuu,Mi Nina shughuli zingine ila ikibidi kutoa ushirikiano nitatoa,historia nyingi inapotea kuhusu nchi hii,hicho kipindi maisha yalikuwa safi sana kwakweli ingawa nilikuwa Mdogo ila nakumbuka haikuwa hivi.
 
Back
Top Bottom