tatizo c watoto ni huzuni kwa baba mzazi kumfundisha mwanao kukata viuno iwe ni utani au seriously. unajisikiaje kuwa mtoto (kijana/ binti) wako anaulizwa studio au shuleni nani kakufundisha haya anasema kwa sauti kubwa NI BABA!!! pumbavu zako wewe mzazi wa kiume mnaharibu kizazi hiki.
Kufundisha Watoto Upumbafu wa Kibashite.
Kwa sisi waafrika muziki upo kwenye damu. Kwahiyo kucheza muziki wala sio ushenzi au upumbavu. Hayo mawazo yenu ni ya kiarabu na ya kizungu