GE2025 VIDEO: Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya Wagombea

GE2025 VIDEO: Kamati Kuu CCM yamaliza kikao saa 5 usiku, yapitia na kuchuja mapendekezo ya majina ya Wagombea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakitoka kikaoni, baada ya kikao hicho kumalizika usiku huu.

Fuatilia hapa: CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

Wakati wowote kuanzia sasa, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, atazungumza na waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa, katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

 
Umma wa watanzania unawaangalia tu na drama zenu za uchaguzi wa mchongo.
 
Doh,taweka wapi sura zetu manabii!!
downloadfile-5.jpg

Ngoja tuone
 
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakitoka kikaoni, baada ya kikao hicho kumalizika usiku huu.

Fuatilia hapa: CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

Wakati wowote kuanzia sasa, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, atazungumza na waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa, katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

Wapi Nchimbi ? HUYO WAZIRI SALUM NI MLINZI WA KIJADI WA SAMIA?Sijawahi ona msaidizi /?katibu wa Rais akiwa na Rais kila mahali.
 
Doh,taweka wapi sura zetu manabii!!
Watanzania hawa Manabii walioibuka kama uyoga wamejaa YouTube kwa kudai wanaoteshwa na Mungu watawapotosha Raia wengi sana.inasikitisha kuna watu wanawaamini


Mtu akishaanza kujiita Nabii au mtume jua ni tapeli
 
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, iliyoketi Jumatatu, tarehe 28 Julai 2025, Dodoma, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakitoka kikaoni, baada ya kikao hicho kumalizika usiku huu.

Fuatilia hapa: CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

Wakati wowote kuanzia sasa, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla, atazungumza na waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa, katika Ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

rubbish! johnthebaptist
 
Inadaiwa Samia alivua koti kwenye kikao ili apigane na Nchimbi. Mgogoro ulikuwa mkubwa kiasi cha kutoleana bastola
 
Back
Top Bottom