Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,002
- 5,824
Hakika nilikuwa sijui kuwa katibu mkuu wa ccm ana mamlaka makubwa kiasi hiki.
Aliyekuwa katibu mkuu wa ccm anajitanabaisha na kujimwambafai kuwa yeye ndiye anayewewapangia mawaziri na wakuu wa mhimili mwingine kutenda kazi.
Ama kweli chama kimeshika hatamu. View attachment 1979915
Ukitaka kujua meko alikuwa rais wa hovyo angalia wasaidizi wake;