Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hakika nilikuwa sijui kuwa Katibu Mkuu wa CCM ana mamlaka makubwa kiasi hiki.
Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM anajitanabaisha na kujimwambafai kuwa yeye ndiye anayewewapangia Mawaziri na wakuu wa mhimili mwingine kutenda kazi.
Ama kweli chama kimeshika hatamu.
Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM anajitanabaisha na kujimwambafai kuwa yeye ndiye anayewewapangia Mawaziri na wakuu wa mhimili mwingine kutenda kazi.
Ama kweli chama kimeshika hatamu.