Video: Imagine huyu ni mtaalam wa mambo ya afya!

Video: Imagine huyu ni mtaalam wa mambo ya afya!

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,924
Reaction score
95,761
Tanzania kwa sasa hivi ni barazani pa wenye mizaha,imagine mtu anaona fresh kabisa kuentertain mikusanyiko kama hiyo bila tahadhari yoyote zama hizi za Corona!🚶🚶🚶

 
Huyo ni lawyer......siyo mtaalam wa afya
Kafanya kazi kwenye wizara ya afya kwa hiyo mbili tatu za afya anazijua vizuri sana.Kuwa mtaalam wa kitu fulani siyo lazima ukae darasani usomee hicho kitu.Uzoefu ni zaidi ya elimu ya darasani.
 
Kafanya kazi kwenye wizara ya afya kwa hiyo mbili tatu za afya anazijua vizuri sana.Kuwa mtaalam wa kitu fulani siyo lazima ukae darasani usomee hicho kitu.Uzoefu ni zaidi ya elimu ya darasani.
Siyo wote wanaishi kwa kile wanachokisimamia
 
Kafanya kazi kwenye wizara ya afya kwa hiyo mbili tatu za afya anazijua vizuri sana.Kuwa mtaalam wa kitu fulani siyo lazima ukae darasani usomee hicho kitu.Uzoefu ni zaidi ya elimu ya darasani.
Mmmmh!!!
Kusoma ni lazima sio lazima darasani lakini.
Bila hivo kazi lazima iwe mbaya na kukushinda kabisa.
 
Maisha binafsi hayo, mwenzio anafurahia ushindi.
Yaani wabongo tunajifanya wajuaji sana, Obama alivyokuwa anacheza na kufanya utani alikuwa anasifiwa ila akifanya Ummy anaonekana hana akili.
Kwanza umeelewa nilichoandika?Kuna siku Obama amecheza kwenye umati wa watu wakati huu wa Corona bila ya kuchukua tahadhari yoyote ile dhidi ya Corona?
 
kuna wakati wa michezo, wakati wa sala, wakati wa kazi, wakati wa kulala etc

....hapo namwona michezoni anafurahia ushindi wa Mnyama Simba... so sio mbaya
 
Wadigo kwa ngoma halafu akianza kukohoa kohoa anasema Karagwe.
 
Kwanza umeelewa nilichoandika?Kuna siku Obama amecheza kwenye umati wa watu wakati huu wa Corona bila ya kuchukua tahadhari yoyote ile dhidi ya Corona?
Wapi umeandika Corona...?
Acha kujitetea, we ulimaanisha kuwa anajitetua, kama haukuwa na maana hiyo ilibidi ufafanue.
 
Wapi umeandika Corona...?
Acha kujitetea, we ulimaanisha kuwa anajitetua, kama haukuwa na maana hiyo ilibidi ufafanue.
Yaani unahitaji ufafanuzi kuwa kipindi hiki mikusanyiko ambayo haina tahadhari dhidi ya Corona haitakiwi?
 
Back
Top Bottom