Video: Huyu ni nani?

Video: Huyu ni nani?

Salaam Members!

Huyu kijana ni nani?
Ningependa kujua mawili matatu kuhusu yeye maana siyo kwa jinsi anavyojieleza alivyofanikiwa chini ya SSH.

Vijana wengine kumbe tunasindikiza tu.

View attachment 3392911
Hilo Begi la mtoto halifanani na hayo magari.
2. Hiyo nyumba haifanani na hayo magari.
Kuna uwezekano ,huyu ni muuza magari ambauo sio yake na ni chawa.
Sijajua geti kafungua nani,ila huyo ni mpangaji hana nyumba
 
Hilo Begi la mtoto halifanani na hayo magari.
2. Hiyo nyumba haifanani na hayo magari.
Kuna uwezekano ,huyu ni muuza magari ambauo sio yake na ni chawa.
Sijajua geti kafungua nani,ila huyo ni mpangaji hana nyumba
ila km kweli vile
 
Fake life tu huyo

Ova

100% ,mtu mwenye pesa hawezi kuonyesha mtandaoni hata siku moja tena mwenye pesa nyingi hataki watu wajue kama ana pesa maana ni risk sana kwake.

Ila hawa wanaoonyesha mitandaoni ni wa kuwahurumia tu wanafeki life eg Chief Godluv anayejifanya ana hela lakini ameenda kuchukua fomu ya ubunge aanataka aende bungeni kulipwa mshahara.
 
100% ,mtu mwenye pesa hawezi kuonyesha mtandaoni hata siku moja tena mwenye pesa nyingi hataki watu wajue kama ana pesa maana ni risk sana kwake.

Ila hawa wanaoonyesha mitandaoni ni wa kuwahurumia tu wanafeki life eg Chief Godluv anayejifanya ana hela lakini ameenda kuchukua fomu ya ubunge aanataka aende bungeni kulipwa mshahara.
😄

Ova
 
Hakuna tajiri anayeunga maneno kwa neno bhana, hilo ni neno la watu dhaifu lenye kaulalamishi and from what I know hakuna tajiri wa hivyo bhana. 😂

Lugha ya tajiri inajulikana sawa na ilivyo lugha ya maskini, msomi, mwerevu na mbumbumbu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom