Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 6,210
- 11,589
Huyu tunae, mwenye picha angle ya uso na information zake weka hapa, tusiporidisha moto tutakua hatujawatendea haki ndugu zetu waliouliwa na haya majambazi, Samia alitudharau sana *****
Weka sura kama unayoDaaaa huyo dada anajulikanaaa
Huyo si mrembo bali shetani wa kike kama yule mkuuPisi kali hiyo kwenye Video naye mikono yake imejaa damu. Hakuna huruma lazima kisasi kiwepo. Hakuna kuwaobea huruma.
adriz de mbusii
Tunaitafuta tulia mpaka jina na makazi yakeWeka sura kama unayo
Huyo mbona ni gallow birdWOTE WALIOHUSIKA KUUA NDUGU ZETU WATANYONGWA HADHARANI.
Yule jamaa wa yanga kahisoka kwenye matukio mengi. Kwenye video hiyo anakatiza huyu hapa
Huyu nAye ni polisi, au Usalama wa Samia?
Hivi Samia ni "mgumba"?Atakua mgumba huyu… huwez ukajua uchungu wa kusukuma af ukaua watoto kama mende
Du huyu ni rastafari?na wa makolo yupoView attachment 3507359
Huyo kama rastafari sio?Huyu ni task force ya mafwele. Kaua raia wengi sana zaidi ya miaka 10 amekua akihusishwa na mauaji nchi nzima. Kwenye kila oparation ya kuteka na kuua vijana humkosi.
Kina Bluetooth ndio kina naniHuyo rasta aliyeshika bunduki automatically sio hawa polisi wa kawaida ... Hawa ni lazima wawe akina bluetooeeth
Ile mijamaa minne yenye kàpelo nyeusiHuyu jamaa WA jezi ya yanga anaonekana alipiga show Barbara si ndo Yule yupo kwenye Ile picha wapo kama wanne hivi 🤣🤣 nasikia alikuwa akiona umeshika mtungi wa gesi unakimbia nao haulizi anafokoa tu.
Na rasi DCI nae yupona wa makolo yupoView attachment 3507359
Unafurahiaje mauaji ya watu na usiku unalala?Huyu jamaa WA jezi ya yanga anaonekana alipiga show Barbara si ndo Yule yupo kwenye Ile picha wapo kama wanne hivi 🤣🤣 nasikia alikuwa akiona umeshika mtungi wa gesi unakimbia nao haulizi anafokoa tu.
Amezaa huyo, mwanamke atampenda mtoto wa kumzaa yeye sio wa mwenzake hujawahi kuskia vituko vya mama wa kambo??Atakua mgumba huyu… huwez ukajua uchungu wa kusukuma af ukaua watoto kama mende
Wanakuwa wameshika kwa kazi maalum sio mtaani kama policeOk mimi sijawahi kuona Rasta kashika SMG kama huku SA hawezi hata kuvuka bara bara na rasta zake akiwa na mashine...
Mkuu usijiulize sana.Rastafarian Huwa Hawa amini kwenye violence na ndio maana true rastafarian Huwa ni mtu amani na upendo
Sijui huyo ni Rasta ganiii
Alafu mwigulu nchemba anasema hakuna mauaji na hakuna haja ya kujua watu wangapi wameuwawa bila hatiaMkuu usijiulize sana.
Hao 'undercover' anajishepu vyovyote kupoteza lengo.
Hata kanzu ya padri au shehe aweza vaa.