much know JF-Expert Member Oct 22, 2017 7,865 10,933 Feb 5, 2024 #21 ChoiceVariable said: Kwa nini walale kwenye makuti? Click to expand... Unauliza makofi polisi?
K kahembe Member Mar 22, 2015 86 70 Feb 5, 2024 #22 ulienda kasulu, kibondo, Kakonko( Kasanda,Murusagamba) Uvinza( Nguruka, Basanza, Mpeta ) pamechoka sana
ulienda kasulu, kibondo, Kakonko( Kasanda,Murusagamba) Uvinza( Nguruka, Basanza, Mpeta ) pamechoka sana
ChoiceVariable JF-Expert Member May 23, 2017 45,536 52,594 Feb 6, 2024 Thread starter #23 kahembe said: ulienda kasulu, kibondo, Kakonko( Kasanda,Murusagamba) Uvinza( Nguruka, Basanza, Mpeta ) pamechoka sana Click to expand... Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯
kahembe said: ulienda kasulu, kibondo, Kakonko( Kasanda,Murusagamba) Uvinza( Nguruka, Basanza, Mpeta ) pamechoka sana Click to expand... Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯
ChoiceVariable JF-Expert Member May 23, 2017 45,536 52,594 Feb 6, 2024 Thread starter #24 Hismastersvoice said: Mjerumani alipotaka kuikarabati nyie mkataka eti awape pesa mnawataalamu wenu waliobobea wataikatabati! Akawashitukia. Click to expand... Ukarabati unaendelea.Mjerumani alitaka aichukue Kwa kubadilishana meli Mpya.
Hismastersvoice said: Mjerumani alipotaka kuikarabati nyie mkataka eti awape pesa mnawataalamu wenu waliobobea wataikatabati! Akawashitukia. Click to expand... Ukarabati unaendelea.Mjerumani alitaka aichukue Kwa kubadilishana meli Mpya.
K kahembe Member Mar 22, 2015 86 70 Feb 6, 2024 #25 ChoiceVariable said: Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯ Click to expand... ChoiceVariable said: Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯ Click to expand... yemuga kuwa mpole ...hayo maeneo niliyoyataja miundombinu ni mibovu sana....ukiangalia barabara ni za hovyo ,hospital na vituo vya afya hovyo... ila ndo Hali hasi ya maeneo mengi Tz siyo kigoma tu.
ChoiceVariable said: Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯ Click to expand... ChoiceVariable said: Pamechoka na nini? Au umekariri? Sehemu zote hizo hazikuwa na lami Wala umeme ,Sasa hivi ni π₯π₯ Click to expand... yemuga kuwa mpole ...hayo maeneo niliyoyataja miundombinu ni mibovu sana....ukiangalia barabara ni za hovyo ,hospital na vituo vya afya hovyo... ila ndo Hali hasi ya maeneo mengi Tz siyo kigoma tu.