Kweli Mungu anadhihakiwa. Mlevi chakari anashindwa kupanda ngazi anaanguka anaumia halafu anawadanganya watu na kusingizia kaumizwa na watu yote hayo yakiwa machukizo kwa Mungu na kumbe alitoka kwa kimada yakiwa ni machukizo mengine halafu leo mnasema kama si Mungu. Jamani Mungu yupi?? Tuache dhihaka wandugu