Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Uzee wote huo ,pensheni unayo uliyekuwa naibu Waziri mkuu enzi za Mwinyi ,Waziri wa mambo ya ndani ,DSO lakini bado mchumia tumbo maskini .
Huyo atakuwa kavuta chochote kutoka kwa Jiwe!!
Akili ishaoza!
Chama cha TLP kimemteua Rais Dk Magufuli kuwa mgombea wa urais kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema amesema Halmashauri Kuu ya TLP ilifanya uteuzi huo ilipokutana miezi miwili iliyopita.
Akizungumzia uteuzi huo amesema Rais huyu ni bora, tukimpoteza, hatupata mwingine. Hivyo ameeleza kuwa wanachama wa TLP na viongozi wake waishangaa CCM, kwani hawaoneshi kutambua mchango na utumishi uliotukuka wa Rais Dk Magufuli.
Ameweka wazi kuwa chama hicho kitamuunga mkono kwenye uchaguzi ujao.
Source: SwahiliTimes
View attachment 1161642
Kuna haja ya kupima akili ya Mrema hata kwa kutumia nguvu , afungwe kamba akimbizwe Muhimbili haraka sana
uyo Mzee Hana loloteHuyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
View attachment 1161592
Ninachoweza kusema ni kwamba mzee wa kirachacha anaumwa....Huyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Mrema amesema Chama chao kipo kwa ajili ya kumsaidia Rais John Magufuli ambapo msimamo wao ni kuunda UKAWA wao na Rais Magufuli.
View attachment 1161592
Hata akina membe na co maandalizi wafanyayo ni sehemu ya demkrasia lkn katibu wenu anawaita wapumbavu.Kamanda mambo ya demokrasia hayo