Huyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Unaweza kuta halmashauri kuu Ni yeye na mke wakeSasa hiyo Asante ina uhusiano gani na halmshauri kuu ya TLP kumpitisha Magufuli 2020 kama mgombea ?
Wewe huoni hapo ni kuwehuka ?
Tunasubiri chama kikuu cha upinzani bungeni nacho kimpitishe kupitia vikao vyake halali kwa ajili uchaguzi mkuu ujao ( nice joke, uh !?)Mambo mengine mpaka aibu sasa siwachukue kadi za ccm tu kijulikane.
Nimepiga picha wanampiga mitama
Nimepiga picha wewe na watu kadhaa mnamlazimisha mrema kwenda hospital kupima akili na hataki.
Hili tusilichulie kimzaha.Huyu hapa Lyatonga Mrema akifafanua
Sisi kutokana na utendaji bora uliotukuka wa Rais wetu mpendwa Dr. Magufuli, Halmashauri kuu ya TLP ilikutana miezi miwili iliyopita na kumpitisha Rais Magufuli kuwa mgongea wa urais wa TLP 2020.
Sisi tutamuunga mkono huyu Rais bora, tukimpoteza hatuwezi kupata Rais mwingine kama huyu.
Kama wewe kahaba unavyomendea UDC wa nanjilinji kupitia polepole.Uwe na heshima binti, Mbowe alikuwa anakula chakula kizuri na analala pazuri akiwa gerezani hii yote ilikuwa juhudi za Mrema!
Una uhakika wachaga wote hawampendi Magufuli hadi Lyatonga awatie aibu wachaga wote? Ukabila karne hii ni upumbavu.Yaani Mrema anatutia aibu wachagga wote! Wallah huyu mzee ni kituko. Anajuaje kama Magufuli atafika 2020?
Warumu wam'baye