VIDEO: Hali ya Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika mechi ya Simba SC vs RS Berkane

VIDEO: Hali ya Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika mechi ya Simba SC vs RS Berkane

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Tazama hali ya sasa Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika katika mechi ya Kombe la Shirikisho Simba SC vs RS Berkane

CAF President Mr Mostepe, this photo and video just taken now at Mkapa Stadium; the pitch is i...jpg




 
Hii shida yote inakuja kwasababu kuna viongozi na watu ambao hawako serious.Yaani ubabaishaji wa kiwango kikubwa.Ata kurekebisha uwanja tu tena ambao fedha zimeshatengwa nikiasi cha usimamizi tu hatuwezi.Tuna safari ndefu sana yakujisimamia.
 
MNAHANGAIKA BARUA ISHATUA SIMBA KWA MKAPA HATUCHEZI NG'O
CC BERKANE
CC
TFF
 
Back
Top Bottom