Ni upepo unaovuma,utatulia.yote hii inaimarisha dangote.maono yangu kitakua kiwanda kikubwa sana kwa ukanda wa afrika mashariki na kati.acha siasa zipite niwakati wake
Ninauhakika kama dangote akiondoka ndio chanzo cha tanzania ya - Viwanda.
Huyu jamaa ni Role model hadi kwa wazungu na wachina. Kama dangote ndugu yetu akikimbia unadhani nani atatuamini. Labda kama viwanda viwe ni vya miaka mitano mitano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.