Ndugai kinachomkalisa kwenye ubunge ni ndumba alizoachiwa na mama yake ...
Mkuu Dingswayo tafadhali hebu weka mkanda mzima utupe raha ndani ya roho. Dakika mbili ulizoweka ni fupi mno kutokana na unyeti wa jambo lenyewe. Mkuu zingatia ombi hili tafadhali.
Mkuu, mimi nazipata hizi video moja kwa moja zilivyotengenezwa na zinawekwa youtube. Labda tuwaombe waliotengeneza waweze kutupatia mkanda mzima.
Sasa hivi kwisha kazi. Na huko aliko ameshaanza kuhisi tofauti. Na ameshajua kinachoendelea kwamba kuanzia sasa uchawi na ndumba zote anazotumia ndungai hazitafanya kazi tena.Na mimi ninasema kama ifuatavyo:-"Baba katika Jina la Yesu. Ninasimama katika maneno yako unayoyaheshimu, ambayo unayaangalia upate kuyatimiza. Ulisema umetupa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na juu yakazi zote za yule mwovu. Kwa Jina La Yesu, Jina lenye mamlaka, ninaharibu uchawi wote anaotumia huyu mtu aliyetajwa hapa. Ninadhoofisha na kufisha kazi zote za ushirikina, nalegeza nguvu za wakuu anaowategemea, navunja madhabahu zote alizosimika na nafisha nguvu za makafara aliyoyatoa katika madhabahu zile. Ninabatilisha viapo vyote vilivyofanyika kusimika ufalme wake katika misingi ya giza. Na kuanzia sasa naagiza Roho ya ufahamu imrudie ili akatambue Wema na Ukuu wako Mungu ili akatende haki na Kukucha wewe Mungu wa Kweli uliyezifanya mbingu na nchi.Nimeomba nikiamini wewe ni Mungu uliyeagiza haya. Kuwafungua waliofungwa, kuwaweka mateka huru na kuwapa tumaini waliovunjika moyo. Katika Jina la Yesu Kristo aliyehai milele nimeomba. AMEN".Kila mtu aseme Amina.NDUGU ZANGU WANA JF. MAOMBI HAYA YAKO HAI. YATAFANYA KAZI KWA MTU YEYOTE AMBAYE ANATENDA MACHUKIZO KWA NGUVU ZA UCHAWI AMA MSUKUMO WA NGUVU ZA GIZA. YACHUKUE NA UYAWEKE CHINI YA JINA LA MTU YEYOTE UNAYEMKUSUDIA AMA AMBAYE UNAPENDA MUNGU AMFUNGUE NA YATAFANYA KAZI. KISHA UTAKUJA KUSEMA.MUNGU WETU NI BABA WA UPENDO. HANA MASHART KAMA WANGANGA WA KIENYEJI. YAFANYIE KAZI HAYA NA UTAONA MATOKEO YAKE.Ndugai kinachomkalisa kwenye ubunge ni ndumba alizoachiwa na mama yake ...
Huwa najiuliza kuna ugumu gani wa kurecord mikutano hii mwanzo mwisho na kuturushia Youtube??? Kwann chama kisiweke watu maalumu wa kucapture mkikutano yake mwanzo mwisho ili itumike kama darasa maeneo ambayo bado hayajafikiwa na habari njema a ukombozi???Mkuu, mimi nazipata hizi video moja kwa moja zilivyotengenezwa na zinawekwa youtube. Labda tuwaombe waliotengeneza waweze kutupatia mkanda mzima.