Video: Bomu lilivyolipuka Soweto Arusha

Video: Bomu lilivyolipuka Soweto Arusha

Tutatengeneza CD itakayo cover matokeo muhimu hadi bomu likilipuka
 
Nimeiangalia video vizuri sana, kwanza haionyeshi bomu linavyoripuka kama unavyosema kwenye HEADING YAKO(huu ni uzushi)
pili kuanzia sekundi ya kwanza hadi ya 50, unaonyesha miguu na makalio ya watu sijui for what purpose( natumai wewe si mriberali)
tatu, sioni watu wanavyokimbia kama unavyosema, kuanzia sekunde ya 54 watu wanaonekana wamesimama kwenye kama kichuguu tena wengine wanapiga stori na kuongea na simu kama vile hakuna tukio la hatari
nne, baade kuanzia dakika ya kwanza naona watu wanaondoka eneo la tukio kwa mwendo wa hima na wengine taratibu, sio kukimbia kwa kasi kama unavyodai!
Mwisho: uzushi sio kitu kizuri usifikiri wote tunatumia simu za tochi hatutaweza kudownload hiyo clip yako ya you tube ambayo wewe umeiita video

Revocatus Kashanga kwanza naanza kwa kukuita MPUMBAVU na sio mzalendo. badala ya kuanza kutafuta namna ya kuzuia huu ushenzi wewe anazakuropoka ropoka ovyo... Watu wamepoteza maisha na wewe unaona kawaida tu..
 
Inasikitisha sana, aluta continua MAKAMANDA wangu
 
Nimeiangalia video vizuri sana, kwanza haionyeshi bomu linavyoripuka kama unavyosema kwenye HEADING YAKO(huu ni uzushi)
pili kuanzia sekundi ya kwanza hadi ya 50, unaonyesha miguu na makalio ya watu sijui for what purpose( natumai wewe si mriberali)
tatu, sioni watu wanavyokimbia kama unavyosema, kuanzia sekunde ya 54 watu wanaonekana wamesimama kwenye kama kichuguu tena wengine wanapiga stori na kuongea na simu kama vile hakuna tukio la hatari
nne, baade kuanzia dakika ya kwanza naona watu wanaondoka eneo la tukio kwa mwendo wa hima na wengine taratibu, sio kukimbia kwa kasi kama unavyodai!
Mwisho: uzushi sio kitu kizuri usifikiri wote tunatumia simu za tochi hatutaweza kudownload hiyo clip yako ya you tube ambayo wewe umeiita video

Wajua mkuu kazi yake ilikuwa nzuri kwa uwezo wake ila kumbuka tanzania hatujazoe kitu inaitu Mabomu ya mkono na huwa hatujui kutofautisha

sasa lilipo tokea kila mtu alitahamaki na kuanza kukimbia ndio baada kujua khaa kumbe ni bomu. ukizingatia mchukuwa picha sio kama wale wa Aljazera wenzetu wako tayari na ndio kazi zao. Just shukuru japo kwa clip hata hiyo ulio ona umeona machache ila kama ni mzoefu wa kusoma au kujua crime scene investigation kwa hiyo clip waweza pata mambo mengi zaidi

 
Revocatus Kashanga kwanza naanza kwa kukuita MPUMBAVU na sio mzalendo. badala ya kuanza kutafuta namna ya kuzuia huu ushenzi wewe anazakuropoka ropoka ovyo... Watu wamepoteza maisha na wewe unaona kawaida tu..
Usijibizane na hiyo takataka!! utamtafuta utengeneze Murder bure! acha wengine ni cross za binadamu na masokwe!!
 
chadema walisema wana kila ushahidi wa jeshi la polisi kutumia silaha hatari kwenye mkutano wao na kusababisha majeruhi na mauaji? nadhani ni wakati sasa kuelekea oktoba cdm waweke hadharani mpango mzima ili kuwadhibiti ccm na polisi kwenye kutumia tena Dola kudhibiti nguvu ya upinzani
 
Baada ya Chadema , kuvunja miiko, na kukumbatia kila fisadi anayeitwa fisadi.

Nimewakumbuka makamanda waliopoteza uhai wao pale soweto, kwa kupiga vita ufisadi.

Ni kama vile Chadema wamewasahau hawa makamanda, huko walipo watakua wanasikitika sana na kujutia kupoteza uhai wao kwa lengo lililokatishwa ghafla na kuwapokea mafisadi.

Damu yao italia siku zote kwenye paa la ufipa kwa kuwasaliti.

Mlale kwa amani makamanda, damu yenu haikumwagika bure, tunawahakikishia, mafisadi, hawataiona ikulu.

Tutapiga kura ya hapana kwa ukawa.
 
Hahah pumba tupu
Wazazi na ndugu wa wafiwa wanajuta kuifahamu chadema, sidhani kama kutakua na kura za wahanga wa maandamano na vifo vilivyotokana na kampeni ya kupiga vita ufisadi. Ni jambo la kusikitisha mno kuona namna Chadema ilivyobadilika ghafla la kukumbatia mafisadi.
 
Back
Top Bottom