Video iko vizuri na nimejaribu kwa kadri niwezavyo kuonyesha the moment of blast nikiwa mita 100. Fuatilia mkuu utaona blast kwa mbali na moshi na hatimaye watu kuanza kukimbia. Sikuwa karibu kwani ningekuwa nami naagwa leo.
Angalia pia hapa Mlipuko tarehe 15 06 2013 Arusha - YouTube
nikijaribu kuicheki na kuidownloand inaniandikia you browser not current recognize any of the video formarts available sijui wengine mmefanikiwa kuitizama, au ndo wameisha anza njama zao tusiione kama kawaida yao.
mbona umeidit sasa??? Ungeiacha vile vile huku ni kuficha ushahidi
nimeisha icheki mkuuinaonekana vizuri, kama inasumbua kwa download, you can just add to bookmark
mbona umeidit sasa??? ungeiacha vile vile huku ni kuficha ushahidi
Nimeiangalia video vizuri sana, kwanza haionyeshi bomu linavyoripuka kama unavyosema kwenye HEADING YAKO(huu ni uzushi)
pili kuanzia sekundi ya kwanza hadi ya 50, unaonyesha miguu na makalio ya watu sijui for what purpose( natumai wewe si mriberali)
tatu, sioni watu wanavyokimbia kama unavyosema, kuanzia sekunde ya 54 watu wanaonekana wamesimama kwenye kama kichuguu tena wengine wanapiga stori na kuongea na simu kama vile hakuna tukio la hatari
nne, baade kuanzia dakika ya kwanza naona watu wanaondoka eneo la tukio kwa mwendo wa hima na wengine taratibu, sio kukimbia kwa kasi kama unavyodai!
Mwisho: uzushi sio kitu kizuri usifikiri wote tunatumia simu za tochi hatutaweza kudownload hiyo clip yako ya you tube ambayo wewe umeiita video
Nimeiangalia video vizuri sana, kwanza haionyeshi bomu linavyoripuka kama unavyosema kwenye HEADING YAKO(huu ni uzushi)
pili kuanzia sekundi ya kwanza hadi ya 50, unaonyesha miguu na makalio ya watu sijui for what purpose( natumai wewe si mriberali)
tatu, sioni watu wanavyokimbia kama unavyosema, kuanzia sekunde ya 54 watu wanaonekana wamesimama kwenye kama kichuguu tena wengine wanapiga stori na kuongea na simu kama vile hakuna tukio la hatari
nne, baade kuanzia dakika ya kwanza naona watu wanaondoka eneo la tukio kwa mwendo wa hima na wengine taratibu, sio kukimbia kwa kasi kama unavyodai!
Mwisho: uzushi sio kitu kizuri usifikiri wote tunatumia simu za tochi hatutaweza kudownload hiyo clip yako ya you tube ambayo wewe umeiita video