VIDEO: Biashara ya madawa ya kulevya bado imeshamiri Dar

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,061
Licha ya vita iliyoanzishwa na mkuu wa mkoa kisha Rais kumteua kamishna wa kupambana na madawa hayo, biashara ya madawa ya kulevya bado imeshamiri Dar, mateja bado wananunua dawa hizo japo wanadai kwa sasa imependa bei kutoka 1,000 hadi 3,000 ila kuacha hawawezi hivyo inabidi wafanye uhalifu zaidi ili kufidia kuongezeka huko kwa bei
VOA walitembelea vituo vya mateja Dar na kuja na ripoti hii
 
To gain more profit,create scarcity ili kuwe na high demand itakayopushprice to the maximum huku ukiua washindani wadogo wadogo na kuwaachia magiant yakidominate market na super normal profit!!

Hapa ndio unapoona mahusiano ya Bashite na wabia wake!
 
Ukisikia 'investigative journalism' ndiyo hii.
Unapata uhalisia wa jambo. Hayo tunataka tuyasikie VOA, BBC ,CNN n.k.

Waandishi wa nyumbani wakitafuta na kuonyesha maovu wanaambiwa 'hawana uhuru huo' Wanaambiwa wasitumie muda mwingi kuonyesha hali halisi bali hotuba tam tam
 
To gain more profit,create scarcity ili kuwe na high demand itakayopushprice to the maximum huku ukiua washindani wadogo wadogo na kuwaachia magiant yakidominate market na super normal profit!!

Hapa ndio unapoona mahusiano ya Bashite na wabia wake!


Mbona ya siku nyingi hii. Wewe ndo unaona leo. na usifikiri changamoto zinaweza kwisha. Ingekuwa hivyo wote tungeenda mbinguni. Ni sawa na kula na kwenda mahali pale kuweka mzingo. Tofauti ni kwamba unaweza kuboresha unachokula na kupata afya zaidi, ila huwezi kuacha kuwa na njaa. Ukitatua changamoto moja nyingine inajitokeza. Mfano elimu bure imewasadia wengi ila changamoto ya madaraza na waalimu ikajitokeza. Kimsingi kwa bei kuongezeka kutoka 1000 hadi 3000 ni mafanikio. Kamishna alisema angashambulia supply side kama strategy mojawapo.

Basi tujitahidi kuwa na mawazo ya kwamba challenges are there and we need to find solutions. In fact uchunguzi wa wanahabari hao ni neema kwa wale wenye nia njema na nchi
 
Back
Top Bottom