Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
"Mke wangu ni Mwalimu lakini ananizidi mshahara, Sijui tuna laana hapa" - Askari mbele ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Baadhi ya askari wamepata nafasi ya kuzungumzia vitu mbalimbali ikiwemo stahiki zao katika mkutano wa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Chilo uliouhusisha askari wapambanaji wanaotoka kwenye Idara zilizopo chini ya wizara hiyo uliofanyika mkoani Singida