Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
2000
We mjomba mtu niko humu hebu angalia PM nakutumia namba utume hiyo ela kwa tigo pesa fastaaaMimi niliambiwa Mahari Laki moja.
Mshenga alivyoenda kulipa yote wazazi wa Binti wakakataa kupokea yote. Tuliambiwa Kimila kulipia mahari yote ni sawa tumeenda kumnunua Binti, hivyo hataruhusiwa kurudi tena kwao.
Mshenga ikabidi atoe elfu 80 tu, wakaipokea nikapewa Mke.
Hadi leo sijaenda kumalizia ile chenji na hawanidai.
atasubiri sanaKama Dada mtu walitaka M 30 Sasa mdogo Mtu si watataka M 100? Mkuu
Kama Dada mtu walitaka M 30 Sasa mdogo Mtu si watataka M 100? MkuuMdogo wake yupo nina buku mbili niwahi chap
Yaani jaa wanataka wabadili tembe zao kwa kisingizio Cha mahari!!!atasubiri sana
nikusepa tuKama Dada mtu walitaka M 30 Sasa mdogo Mtu si watataka M 100? Mkuu
Yaani jaa wanataka wabadili tembe zao kwa kisingizio Cha mahari!!!
Kwani Alikuwa anataka kwenda kuanzisha biashara gani ?
Niliambiwa milioni tatu na ng'ombe na mbuzi kazaa
Wakanipangia na tarehe hawakuniona mpka leo na simu nikabadili namba
Vigezo na mashart vinazingatiwaMdogo wake yupo nina buku mbili niwahi chap
viatu shi ngapiVigezo na mashart vinazingatiwa
Mahar yake kakwambia ni viatu???viatu shi ngapi