Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
wadau
kama mumechunguza sio kila mara kustream videos in a kuwa ni smooth process. hata kama internet connections yako ni ya high speed, uta experience glitch glitch au kukwama kwama huku ikileta ujumbe buffering....
lakini muda huo huo uki idownload video hiyo utaona inadownload kwa high speed hata 5MBps....
kuna programs au software za kusaidia kustream video kiurahisi kama vile speedbit video accelerator au Leao video accelerator lakini sijaona u effective wake.
kama kuna mtu ana solution zaidi tunamuomba atuwakilishie hapa....
kama mumechunguza sio kila mara kustream videos in a kuwa ni smooth process. hata kama internet connections yako ni ya high speed, uta experience glitch glitch au kukwama kwama huku ikileta ujumbe buffering....
lakini muda huo huo uki idownload video hiyo utaona inadownload kwa high speed hata 5MBps....
kuna programs au software za kusaidia kustream video kiurahisi kama vile speedbit video accelerator au Leao video accelerator lakini sijaona u effective wake.
kama kuna mtu ana solution zaidi tunamuomba atuwakilishie hapa....