Victoria Secret Fashion Show: Models With Natural Hair on the Runway

Ukitaka kufanya lako usimsikilize mtu.
Mimi nilitaka kunyoa tokea mwaka 2013 lakini kwakuwa nilikuwa nasikiliza watu nikawa naacha.

Kuna marafiki zangu hao walikuwa wanazipenda nywele zangu kuliko ninavyozipenda mimi.Nikisema nakata watakuja nitapelekwa saloon yaaaani!

Juzi wameshtukia tu picha nimekata

Ajabu wamenisifia badala ya kuniponda.
Ngoja siku niamke na mashetani nanyookea moja kwamoja kwa kinyozi
 
Kuna Mbongo alishiriki jana kwenye Victoria Secret 2016 Fashin Show. Ni mbongo kwa Baba na Mama anaitwa Harriet Paul, ni model huyu anayeishi na kufanya shughuli zake New York.




WOW!...no wonder BAK anataka iwe mara nne kwa mwaka. That right there, is what Fun is.

Go Harriet..!
 
Lol! Now you agree with me eh! One hour of this show IMO is not sufficient enough.

WOW!...no wonder BAK anataka iwe mara nne kwa mwaka. That right there, is what Fun is.

Go Harriet..!
 
Uwiiiiii!!! Hilo bichwa sasa!!


Hapa kwenye umbo la kichwa ndo kwenye issue mjue, kunyoa sio issue.

Ni muhimu mnyoo uendane na kichwa, ngozi ya sura halafu na umbo la mwili. Kimoja kati ya hivi kikizidi mwingine sana inakuwa tatizo kdg.
Nywele ndefu zinaficha mengi. :)
 
Back
Top Bottom