Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,141
- 159,060
Hapa kwenye umbo la kichwa ndo kwenye issue mjue, kunyoa sio issue.
Ni muhimu mnyoo uendane na kichwa, ngozi ya sura halafu na umbo la mwili. Kimoja kati ya hivi kikizidi mwingine sana inakuwa tatizo kdg.
Nywele ndefu zinaficha mengi.
Yaani acha tu, haya machogo yetu yanafichwa vizuuri, sasa kichwa kama pentagon alafu unyoe jamani!!!