Vicky Kamata Adakwa na Polisi

Vicky Kamata Adakwa na Polisi

Ndoa imetokea wapi tena mama acha umbea

We. Ndo una kiherehere maana hata mhusika humjui vizur mambo yake..afu mwanamke umbea dili kusutwa suna..ila wewe mwanaume ni noumer kusutwa na vigodoro...nxt tym kama una cha kuongea koma ku..quote post angu mxiuuuu!!#okybye
 
We. Ndo una kiherehere maana hata mhusika humjui vizur mambo yake..afu mwanamke umbea dili kusutwa suna..ila wewe mwanaume ni noumer kusutwa na vigodoro...nxt tym kama una cha kuongea koma ku..quote post angu mxiuuuu!!#okybye
maneno kweli yapo kila mahali
 
C. Magige...........mwenye nambari take aniazimie jamani!

Kha haaaaaaaaaa!
 
demu wa mukulu mtamfanya nin? ulizeni charles gardner kilichomtoa kanga manyonya
 
We. Ndo una kiherehere maana hata mhusika humjui vizur mambo yake..afu mwanamke umbea dili kusutwa suna..ila wewe mwanaume ni noumer kusutwa na vigodoro...nxt tym kama una cha kuongea koma ku..quote post angu mxiuuuu!!#okybye

Mmmmh ila dada hapa ni ishu ya kudakwa na polisi ndoa haimo wamuonea tu post za ndoa yake zimejaa tele humu au ujaziona?? Yuko sawa hajakosea..
 
Mmmh yani apa balaa mara Amiri jeshi, mara Mbowe dubai, mara kagasheki, mara vitanda maalum mara siasa gani mara kusutana umbeya.. halafu kichwa cha habari Vicky kamata adakwa na polisi ukisoma habari inaonekana hajakamatwa ni upelelezi unaonyesha ni vicky akitumia namba iliyosajiliwa kwa jina mdogo wake.. Vicky anasmea yupo bungeni magige anasema amesikia amekamatwa nk.. lugha gongana.. daah bora bunge la katiba limeisha nipate mda wa kuwemo humu safi sana kila mwenye pumba zake ama point anamwaga tu.
Ila nashukuru kitu kimoja i know more about this ila wacha wafu wawazike wafu wafu wao... i will be back.
 
be honest sir
Mmmh yani apa balaa mara Amiri jeshi, mara Mbowe dubai, mara kagasheki, mara vitanda maalum mara siasa gani mara kusutana umbeya.. halafu kichwa cha habari Vicky kamata adakwa na polisi ukisoma habari inaonekana hajakamatwa ni upelelezi unaonyesha ni vicky akitumia namba iliyosajiliwa kwa jina mdogo wake.. Vicky anasmea yupo bungeni magige anasema amesikia amekamatwa nk.. lugha gongana.. daah bora bunge la katiba limeisha nipate mda wa kuwemo humu safi sana kila mwenye pumba zake ama point anamwaga tu.
Ila nashukuru kitu kimoja i know more about this ila wacha wafu wawazike wafu wafu wao... i will be back.
 
Busara ndogo hao walioshtaki,
hii kesi ingepelekwa kwa madam Spika.
Angepelekaje kwa spika wakati hajui nani anahusika? Kama ni raia wa kawaida ambaye si mbunge, spika angehusikaje? kumtusi mtu ni kosa la jinai, na polisi ndio mahali pake sahihi.
 
Angepelekaje kwa spika wakati hajui nani anahusika? Kama ni raia wa kawaida ambaye si mbunge, spika angehusikaje? kumtusi mtu ni kosa la jinai, na polisi ndio mahali pake sahihi.

Uko sahihi sana kwa madai ya magige hakujua aliyekua anamtukana akaripot polisi na uchunguzi wa polisi ndo ukabaini hilo.. kwa kujazia hawa bado ni vijana bado wanasafari mdefu kisiasa na huu sio muda wa kulumbama ni kupambana kwa maslahi ya wananchi ushauri wa bure najua upp utartibu wa bunge katka jambo kama hili wangewaita hawa wadada wote wawapatanishe bifu lao ni la muda sasa kila siku kujengeana mazengwe na makashfa magazetini na mitandaoni sio ishu kabisa...
 
Mti wenye matunda kupigwa mawe lazima katika maisha ili ufanikiwe unahtaji marafiki ila ili ufanikiwe zaidi unahitaji maadui keep it up Madam Vicky kamata watasema mchana usiku watalala inshaalaah Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi..
Sheikh wepesi upi anautaka huyu bibie unaomuombea kwa M/Mungu? ,kwa upeo wangu naona mazito yote kwake ni unyoya , au kuna zito atakalo liwe jepesi linalomsibu?.
 
Sheikh wepesi upi anautaka huyu bibie unaomuombea kwa M/Mungu? ,kwa upeo wangu naona mazito yote kwake ni unyoya , au kuna zito atakalo liwe jepesi linalomsibu?.

Labda la kudakwa na polisi mkuu hilohilo liwe jepesi zaid ya unyoya..
 
Back
Top Bottom