Ufisadi hauwezi kuisha hata iweje hata ishuke katiba kutoka mbinguni mapadri, wachungaji, mashehe wenyewe wanakuaga na kesi mbaya kama za kulawiti kutia mimba waumini nk ije kuwa mtu wa kawaida
wanadamu tunalilia kitu kisichoweza kufanywa na hata wengi wetu pia. Hata vitu maalum viondeke atakua mkurugenzi ukiondoka ukuu wa wilaya au mkoa nk sehemu kibao tu anaweza kuwekwa aliye juu yupo juu tu wanaweza fanya lolote watakalo tulizaliwa ktk mfumo huo ni ngumu sana kuubadili hata awe rais nani maana hao viti maalum cuf wapo wapo bungeni viti maalum wa chadema pia wapo na nccr pia. na mbatia pia ni kiti maalum tatizo hapa si kitj maaalum waungwana ishu hapa ni bifu mbona mabifu yapo sana hata kwa wazee.. sioni tatizo hapa sitetei yoyote hapa ila mkiweka sula kua wanawekwa wekwa tu wapo wengi waliowekwa na wametulia mfn. Asha rose migilo nk. Ishu ni mabifu chamsingi najua zipo taratibu wangewaita wawapatanishe tu vicky na wenzake ili hii ishu iishe wapambane na maisha na sio wapambanie magazetini..
wanadamu tunalilia kitu kisichoweza kufanywa na hata wengi wetu pia. Hata vitu maalum viondeke atakua mkurugenzi ukiondoka ukuu wa wilaya au mkoa nk sehemu kibao tu anaweza kuwekwa aliye juu yupo juu tu wanaweza fanya lolote watakalo tulizaliwa ktk mfumo huo ni ngumu sana kuubadili hata awe rais nani maana hao viti maalum cuf wapo wapo bungeni viti maalum wa chadema pia wapo na nccr pia. na mbatia pia ni kiti maalum tatizo hapa si kitj maaalum waungwana ishu hapa ni bifu mbona mabifu yapo sana hata kwa wazee.. sioni tatizo hapa sitetei yoyote hapa ila mkiweka sula kua wanawekwa wekwa tu wapo wengi waliowekwa na wametulia mfn. Asha rose migilo nk. Ishu ni mabifu chamsingi najua zipo taratibu wangewaita wawapatanishe tu vicky na wenzake ili hii ishu iishe wapambane na maisha na sio wapambanie magazetini..