Vicky Kamata Adakwa na Polisi

Vicky Kamata Adakwa na Polisi

Iwe uongo au ukweli lakini iko wazi kwamba huyu VICKY KAMATA ana gundu zito mno ! Juzi ndoa imeshindikana leo tena majanga mengine , hebu jitathmini dadaangu .
 
watakuwa wagombea vigogo ili viti maalumu vijavywo wawepo.
Inawezekana unayosema wananchi tunawalipa posho kazi wanayoifanya Ni kupigana vijembe hawa viti maalumu hakuna cha maana wanajaza ukumbi Tu hii nchi hii we ngoja.
 
Hata magige mbona mzuri sana mm naamini kampita Vicky kwanini huyo mkuu asinase kwa Magige kanasa kwa Vicky????? Au kaona magige fyatu nini?? Napita tu
Acha uongo bakari , anayepita hawezi kuandika lijitabu refu namna hiyo bhana !
 
hivi kwa mfano ukitaka kumchapa nao,kutakuwa na madhara kwa sisi wa kawaida?
 
Hawa viti maalum hawana ishu zaidi yakula hela ya walipa kodi.kazi yao nikuliwa papuchi huko ndo mana tz haina maendeleo
 
huyu madam vicky nae kazidi,maa mume wa mtu,mara matusi...duh!
 
Cha msingi hapa ni kutambua ya kuwa tekinolojia imekuwa! na hivyo watu wakome kutuma sms za matusi au vitisho kwa watu wengine hata kama ni kwa kutumia simu za wadogo zao! .Mkono wa sheria utakufikia tu!
 
naona leo wachangiaji wa hii mada wengi ni mabingwa wa kukariri. Siku hazigandi fununu kwa bongo tayari imekua kweli eti eti tu watu washatia sahihi.. Shughulisheni akili zenu kufikiri zaidi huyo amiri jeshi mlimshikia miguu.. Au mlikuwepo?? Au na nyie mnataka??? Nyie ndo wenye wivu sasa hamjijui tu.

tuambie ukweli wewe ambae huwa unamshikiaga miguu
 
Hata mm sijasoma hiyo habari lakini through experience namin Vicky anaundiwa zengwe...

Hilo la kawaida sana hata wewe ukifanikiwa sana na kupiga harua kubwa wasikupenda na utawajua tu wabaya wako.
 
Wabunge wa viti maalum!! Mhh! Labda ni wabunge wa "Vitu maalum kwa watu maalum na wakati maalum" Ahaa! Pochi manyoya ..
 
Hapa lazima tuelewe kitu kimoja hawa wana bifu kubwa tena la zamani tu cha msingi waitwe na mamlaka husika iwe za bunge ama hata huko polisi waondoe tofauti zao waache kupigana vijembe ambavyo mwisho wa siku havitawasaidia lolote. Hawa ni viongozi tena vijana na bado wachanga walitakiwa kukomaa kutetea mambo ya msingi ya wananchi kwa nafasi zao na si kulumbana... chonde chonde kama kweli wapo wahusika ama polisi hukohuko walifikiri na hili wakae chini pamoja hawa wadada wapatanishwe tu yaishe waendelee na maisha mengine zamani niliwahi kuona picha Magige na Vicky wapo pamoja nilidhani ni marafiki lakini naamini wagombanao ndio waparanao iwe ni Vicky ama Magige na Mayenga msomapo ujumbe huu angalie mlikwaruzana wapi fikiri mnapata faida gani kulumbana.. kaeni chini myamalize yaishe msonge mbele nyie bado wachanga kisiasa jiimarisheni kwa kupendana na kushirikiana toeni hulka za kike msonge mbele... nawasilisha.
 
Mti wenye matunda kupigwa mawe lazima katika maisha ili ufanikiwe unahtaji marafiki ila ili ufanikiwe zaidi unahitaji maadui keep it up Madam Vicky kamata watasema mchana usiku watalala inshaalaah Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi..

Mafanikio yake ni kati ya 2005 na 2015. Why?

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Vick[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Paschal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Kamata[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Special Seat[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]No Constituency[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 2939, Dar Es Salaam/ box 30, Geita[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 783 277733[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]vkamata@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]18 September 1978[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Southampton Solent University, UK[/TD]
[TD="align: center"]MSc.[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Nyakohoja Computer Centre, Mwanza[/TD]
[TD="align: center"]Diploma[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mandaka Teachers' Training College[/TD]
[TD="align: center"]Teaching Course[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]St. Augustine University[/TD]
[TD="align: center"]Certificate in Journalism[/TD]
[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Eastern & Southern African Management Institute (ESAMI)[/TD]
[TD="align: center"]Public Relation& Customer Care Course[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]CERTIFICATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Morogoro Secondary School, Morogoro[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kichangani Primary School, Morogoro[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Naona leo wachangiaji wa hii mada wengi ni mabingwa wa kukariri. Siku hazigandi fununu kwa bongo tayari imekua kweli eti eti tu watu washatia sahihi.. shughulisheni akili zenu kufikiri zaidi huyo amiri jeshi mlimshikia miguu.. au mlikuwepo?? Au na nyie mnataka??? Nyie ndo wenye wivu sasa hamjijui tu.

Chanzo hicho kilisema pamoja na majibu hayo, mpelelezi huyo aliingiwa na hofu baada ya kutajiwa jina la kigogo huyo wa ngazi za juu serikalini
 
Back
Top Bottom