Vichwa vya hadithi enzi hizo premary

Vichwa vya hadithi enzi hizo premary

Mkubwa Jalala

Senior Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
112
Reaction score
23
Je wakumbuka haduthi ipi? Taja kichwa chake tu. Mi naanza,
1. Ali ni mtoto mtundu.
2. Watoto wageuka mawe.
3. Safari ya mti.
4. Sadiki na Sikili.
Tupia unayokumbuka bila kujali darasa.
 
Kibanga ampiga mkoloni
Siku ya Gulio katerero.
Safari ya Chalinze
Pamela na kipini.
Chopeko na mnofu.
Chatu Mla mbuzi.
 
1: umoja ni nguvu
2: sikuelewi
3: awafu mwenye nguvu
4: nani atamfunga paka kengele
5: maji na moto
6: karudi Baba mmoja
7: sizitaki mbichi hizo (sungura afaamika)
8: mfalme aliyependa vitendawili
9: muwa uliozamisha Melissa
10: nitaganya kazi gan ( shairi)
 
brucheka, omari hodari, mama mbuzi na mwanae, paulo usijekucheza na sisi, mimi ni juma baba anang'ombewake ng'ombe wake ni mweusi baba ana sema kimbia ng'ombe kimbia upesi baba ananjaa
 
Heri mimi sijasema.
Watoto wageuka maawe.
Safari kwa mjomba mndirwa.
 
mimi ni juma baba anang'ombewake ng'ombe wake ni mweusi baba ana sema kimbia ng'ombe kimbia upesi baba ananjaa

Ingawa sio kichwa ila nimeipenda maana umekumbuka kila silabi.
 
Je wakumbuka haduthi ipi? Taja kichwa chake tu. Mi naanza,
1. Ali ni mtoto mtundu.
2. Watoto wageuka mawe.
3. Safari ya mti.
4. Sadiki na Sikili.
Tupia unayokumbuka bila kujali darasa.

eropleni ni chombo cha ajabu,inafanana na ndege,pia huruka angani.inakwenda kasi kuliko gari,zipo eropleni za aina nyingi,kubwa na ndogo.zingine zinzbeba watu na zingine zinabeba mizigo
 
Nimeamini wa Tz wengi ni masikini yaani kati yenu hakuna hata mmoja aliesona shule wanazoziita ENGLISH MEDIA SCHOOL
Kama yuko aweke kichwa cha kitabu kwa hiyo lugha
 
Kutengeneza kichanja
sumvi ni mvivu.
Kalulu ze hear
Hawa ze bus driver.
The adventure of alibaba(kuna kitabu cha kiswahili kinaitwa Alibaba na majangili 40.)
 
Nimeamini wa Tz wengi ni masikini yaani kati yenu hakuna hata mmoja aliesona shule wanazoziita ENGLISH MEDIA SCHOOL
Kama yuko aweke kichwa cha kitabu kwa hiyo lugha

Hiyo primary imeandikwa premary unategemea nini? na hakuna aliyeona kosa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom