Huyu babu sijui kama alifikiri vyema kabla ya kuropoka hii kauli. Ni kauli ambayo huenda akaijutia hapo baadae!Jamani hili jambo si la kufanyiwa mdhaha. Inaumiza kujua hata maaskofu wa kikatoliki pia wamenunuliwa, tulifikiri ni waandishi na wanasiasa tu kumbe hata watumishi wa Mungu? Tanzania imegeuka taifa la wala rushwa, hii ni hatari kwa mstakabali wa taifa letu.
Nchi imeoza mkuu. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo.Jamani hili jambo si la kufanyiwa mdhaha. Inaumiza kujua hata maaskofu wa kikatoliki pia wamenunuliwa, tulifikiri ni waandishi na wanasiasa tu kumbe hata watumishi wa Mungu? Tanzania imegeuka taifa la wala rushwa, hii ni hatari kwa mstakabali wa taifa letu.
Jamani hili jambo si la kufanyiwa mdhaha. Inaumiza kujua hata maaskofu wa kikatoliki pia wamenunuliwa, tulifikiri ni waandishi na wanasiasa tu kumbe hata watumishi wa Mungu? Tanzania imegeuka taifa la wala rushwa, hii ni hatari kwa mstakabali wa taifa letu.