TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,010
- 11,403
Walete ugali na nyama?Mabehewa na vichwa vyote hivyo sahizi vya nini wakati reli yenyewe ni kakipande tu?
Reli hii kukamilika, si chini ya miaka 8 ijayo. Inaonekana vichwa na mabehewa vinaletwa ili vipate kutu.
Kama ni kati ya Dar na Dodoma tu, robo ya vichwa na mabehewa, vingetosha. Miaka 8 ijayo, hayo mabehewa na vichwa vyake, vitakuwa nje ya modern technology.
Pumbavu sana wewe