VICHAPO vya MAN UTD vinaniharibia UHUSIANO Wangu! Wapi RVP?

Mwambie kijana akajitegemee jamani, by the way, ukweli daima unakuweka huru.


Unachosema ni ukweli mtupu. Akijetegemee nini si tutaishiwa hela ya kutanulia town hapa? Kodi unazijua wewe? Acha akae hapo kwao, mshahara TUNAWEKA HESHIMA BAR NA CLUB! LOL!
 
mimi arsenal damu damu
nina bahati mbaya mpenzi wangu man u na ninavoichukia man u...huwa najisahau namchanganya humohumo
na ole wake man u watufunge
mapenzi yetu yataisha siku hiyo hiyo

Hahahaaaaaa! Mapenzi ya timu pinzani yanauma sanaaaa! Mwezio wakishinda anataka GAME akamilishe furaha yake, afu wewe unajikuta 1 haikai wala 2 haikai!
 
mimi arsenal damu damu
nina bahati mbaya mpenzi wangu man u na ninavoichukia man u...huwa najisahau namchanganya humohumo
na ole wake man u watufunge
mapenzi yetu yataisha siku hiyo hiyo
Smile hapo kwenye red baada ya zile 8 au
 
Last edited by a moderator:
Olympic Marseil wenyewe tunaiita (Olymique de Marseille). si unajua tena zamani nilikuwa nawazimikia MABAHARIA, wakirudi kitaa KINOCLAIN baada ya kuiona Bahari na swagga za kibrother man!!! LOL! Hata PSG (Paris Saint Germain) yanikoshaga mwisho namalizia na Vallencia!!!!

Yaani umeanza vizuri, nikajua huyu dada ana swaga si mchezo hadi huko anakujua but mwishoni ukaharib nimejua we mamluki,, valencia haipo league 1, ipo la liga na kina barca,,, ulitakiwa useme monterpilier the champions of france chini ya mshambuliaji john utaka.. Hawa jamaa wamebeba ubungwa wa ufaransa kwa 4-5-1 formations,,, mbele anabaki john utaka alone wengine wote wanapaki bus nyuma...
 
Olympic Marseil wenyewe tunaiita (Olymique de Marseille). si unajua tena zamani nilikuwa nawazimikia MABAHARIA, wakirudi kitaa KINOCLAIN baada ya kuiona Bahari na swagga za kibrother man!!! LOL! Hata PSG (Paris Saint Germain) yanikoshaga mwisho namalizia na Vallencia!!!!

Good, I hope ulikuwa unamaanisha Valencienne.
Pamoja, nimeanza kufatilia hizi ligi za pembeni tofauti na EPL, nimeona nitoke kwenye kelele kwanza, maana wabongo wengi wao Arsenal, Man U, The Blues, au You never walk alone. na recently Man blue na pengine Spurs. nashangaa kina Wigan, Derby, Swansea, Stoke na company zao.
 
Yaani umeanza vizuri, nikajua huyu dada ana swaga si mchezo hadi huko anakujua but mwishoni ukaharib nimejua we mamluki,, valencia haipo league 1, ipo la liga na kina barca,,, ulitakiwa useme monterpilier the champions of france chini ya mshambuliaji john utaka.. Hawa jamaa wamebeba ubungwa wa ufaransa kwa 4-5-1 formations,,, mbele anabaki john utaka alone wengine wote wanapaki bus nyuma...

SIO VALLENCIA, Ni kingereza na kifaransa haviingiliani yenyewe inaitwa KIFARANSA VALENCIENNES FC, sasa kingereza sijui inatamkwaje? Nitamkie wewe, mie KAYUMBA!!!!! SIWEZI KUCHANGANYA LA LIGA NA LEAGUE 1 HATA USINGIZINI
 
ila jaman tuachen masikhara kuna wadada noma kwa soka balaa... Nilishaaibishwa na mdada sina hamu
 
ila jaman tuachen masikhara kuna wadada noma kwa soka balaa... Nilishaaibishwa na mdada sina hamu

Hahahahaaaaaaaaaa! Ilikuwaje mkuuu! Ulipima kina cha bahari na mguu? LOLEST!!!!
 
Olympic Marseil wenyewe tunaiita (Olymique de Marseille). si unajua tena zamani nilikuwa nawazimikia MABAHARIA, wakirudi kitaa KINOCLAIN baada ya kuiona Bahari na swagga za kibrother man!!! LOL! Hata PSG (Paris Saint Germain) yanikoshaga mwisho namalizia na Vallencia!!!!

Wewe lara 1 sasa umeingia choo cha kiume..lol..hebu jipange...
Tangu lini Valencia wakacheza ligue 1???..hapo ungetaja the likes of Bordeaux, Montpellier, Nice, Monaco etc
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ushajitetea huku...

SIO VALLENCIA, Ni kingereza na kifaransa haviingiliani yenyewe inaitwa KIFARANSA VALENCIENNES FC, sasa kingereza sijui inatamkwaje? Nitamkie wewe, mie KAYUMBA!!!!! SIWEZI KUCHANGANYA LA LIGA NA LEAGUE 1 HATA USINGIZINI
 
Wewe lara 1 sasa umeingia choo cha kiume..lol..hebu jipange...
Tangu lini Valencia wakacheza ligue 1???..hapo ungetaja the likes of Bordeaux, Montpellier, Nice, Monaco etc

Hahahaaaa! Ulimi hauna mfupa + UKAYUMBA, Timu yaitwa VALENCIENNES!!!! Sasa katika kutamka kiswanglish ndo nikjikuta nasema Valencia, watu si mkahama Ligi, kumbe mule ndaini IMO jina kama hilo! Si unajua ukizoea majina ya kibantu lazima ujipange! LOL!
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Ilikuwaje mkuuu! Ulipima kina cha bahari na mguu? LOLEST!!!!

Ha ha ha, acha tu, enzi za utoto nilikuwa nacheza sana playstations soccer games mpaka washkaj wakaniita king of pes(ni famous football game) sasa hizo mbwembwe nilizokuwa nazo ni balaa maana kila napoalikwa nicheze na mtu nashinda kwa kishindo,,

Sasa kipindi nipo chuo kuna mshkaji school mate alirud toka majuu na sister wake kama kawaida akatualika kwao mikochen tukacheze league tujikumbushe enzi si unajua mambo ya kualikana kwa friends wa mjini, basi bana kule tukakutana na wadada wa mikocheni jiran zake huku wamekaa sana majuu ( si unajua ulaya hakuna kuzurula unashindia games tu na tv).. Kumbe nao wanajua balaa..

Mtu mzima nikaanza majitambo yangu kama kawa ikawa zamu yangu na sister mmojawapo,,, kitu ps3 imefungwa kwenye plasma full high definitions

Mtu mzima nilikula 5-O kama nimesimama na kuzidiwa kila kitu ambayo haijawai tokea for almost 13 yrs of playing football games..

Yaan huyo dada kuanzia kupanga team mpaka kucheza ni balaa,, ikabid baada ya mechi watu wamuweke mtu kati na kuanza stories za soka za kawaida,, yaan anajua mpira humdanganyi kitu anafatilia hadi copa libertadores ( champions league ya america kusini)

Baada ya pale washkaji walinicheka kwamba kuwanyanyasa tangu utoton nimevuliwa ubingwa na mdada kwa kuzidiwa kila kitu.. Niliondoka mdogo kama pirton
 
Ha ha ha, acha tu, enzi za utoto nilikuwa nacheza sana playstations soccer games mpaka washkaj wakaniita king of pes(ni famous football game) sasa hizo mbwembwe nilizokuwa nazo ni balaa maana kila napoalikwa nicheze na mtu nashinda kwa kishindo,,

Sasa kipindi nipo chuo kuna mshkaji school mate alirud toka majuu na sister wake kama kawaida akatualika kwao mikochen tukacheze league tujikumbushe enzi si unajua mambo ya kualikana kwa friends wa mjini, basi bana kule tukakutana na wadada wa mikocheni jiran zake huku wamekaa sana majuu ( si unajua ulaya hakuna kuzurula unashindia games tu na tv).. Kumbe nao wanajua balaa..

Mtu mzima nikaanza majitambo yangu kama kawa ikawa zamu yangu na sister mmojawapo,,, kitu ps3 imefungwa kwenye plasma full high definitions

Mtu mzima nilikula 5-O kama nimesimama na kuzidiwa kila kitu ambayo haijawai tokea for almost 13 yrs of playing football games..

Yaan huyo dada kuanzia kupanga team mpaka kucheza ni balaa,, ikabid baada ya mechi watu wamuweke mtu kati na kuanza stories za soka za kawaida,, yaan anajua mpira humdanganyi kitu anafatilia hadi copa libertadores ( champions league ya america kusini)

Baada ya pale washkaji walinicheka kwamba kuwanyanyasa tangu utoton nimevuliwa ubingwa na mdada kwa kuzidiwa kila kitu.. Niliondoka mdogo kama pirton

Hahahahaaaaa! Ukastaafu kwa AIBU! lol!
 
Hahahaaaaa! Hasira za MAN U Kubebwa bebwa!!!! LOL!

Nawe unajua wanavyobebwa eeeh!!! Juzi li babu linalia lia ooh muda wa nyongeza ulikuwa mdogo,kazi anayo na wikiendi hii anaenda kwa Newcastle,mwaka jana alichapwa bakora tatu! nakushauri usiende kwa Mkwe wikiendi hii atakukimbiza!
 
Nawe unajua wanavyobebwa eeeh!!! Juzi li babu linalia lia ooh muda wa nyongeza ulikuwa mdogo,kazi anayo na wikiendi hii anaenda kwa Newcastle,mwaka jana alichapwa bakora tatu! nakushauri usiende kwa Mkwe wikiendi hii atakukimbiza!

Kwa kubebwa wale hawana MPINZANI mbona!!!!!
 
Hahahahahahahahahaha
hivi huyo humfanyi zombie?
Hahahaha
ninge shangaa sana wewe kutozingatia pochi!

Kwakweli hapo kwenye mechi umeniacha hoi sana.

Kuna watu wakifungwa huwa hawali hata chakula.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom