Nafikiri huwa anaona CCM ni bora kuliko CHADEMANa yule aliyevuta bangi kwa mara ya kwanza akawehuka huwa anaona nini?
Huyo mtafiti probably alikuwa kichaa wa kike!
Maruerue kisha mambo hugeuka kuwa kinyume ndefu inakuwa fupi n vice versa pana inageuka kuwa nyembamba nk nkNa yule aliyevuta bangi kwa mara ya kwanza akawehuka huwa anaona nini?
Mgodo visa hii ni sister post ya nyingine kule HM ngoja nitakutag uisome kwa undaniMshana Jr....hii si Mada ya kuweka/kuanzisha na kufanya ama kuwaacha wana JF na Tafakari...!!
Hii ni Mada PANA na NZITO (hasa kwa watu WAJUVI na WAZAMIVU wa mambo)
Ni vyema UKAINGIA Deep (ndani zaidi) katika kuzungumzia hali na matukio yanayo mkuta mtu huyu, na kwa kiasi fulani, unaweza kukuta unawasaidia Ndugu na Rafiki wa WAHANGA, kufahamu na kuchukua hatua namna ya ku-deal na watu jamii ya WAENDA WAZIMU (Lunacy)..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkulu nae ana kichaa chake, akicharuka hutoa kauli za hovyo hovyo mara Mwafwaa, mimi sikuleta njaa, sikuleta tetemeko n. K ndio ukichaa huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Neno kabisaVipi na kichaa cha ndugu yetu kilanja mkuu nasikia nae alishaonja joto ya mawe milembe
Swissme
Kuna kitu kinaitwa Hallucination, ambapo hupelekea sehemu za ubongo zinazohusika na interpretation ya taarifa mbalimbali kufanya 'false' interpretation ya images na taarifa zingine(illusion) !Vipi wale vichaa ambao hupiga kelele mfano "wananiijia hao wamekuja na mafisi iiiii sitakii sitakiii"
Unalizungumziaje hili
_ where ever you are remember me_
Ahsante mkuu kwa kunifungua sehemu ya ufahamu wanguHakuna aliyeomba kuzaliwa kichaa wala hakuna wazazi wanaopenda kuwa na watoto vichaa(labda kwa masharti ya mganga) na hii ni roho ya ukatili mkubwa kabisahawa pamoja na uchizi wao lakini bado wana hisia za upendo na wanapendana hasa! Ukiangalia hizo picha nyingine hapo inasemekana mahusiano yao yalidumu mpaka wakapeana mimba! Tafsiri yake ninini? Wana kiwango cha ufahamu wamebakishiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha unanivunja mbavu
Shunie utajiri hutafutwa kwa namna nyingiKaka mshana me mwenyewe huwa nawaonea huruma sana huwa nawaza tu wale wanaume wanaoweza kuwapa mimba vichaa inakuaje kuaje jaman mpaka uweze kulala na kichaa kweli unashindwa kumuonea huruma kutokana na hali yake we unawaza ngono tuuuu