Lile jamaa jinga kweli mwigulu Nchemba tuliwahi kumkamata na mke wa rafiki yake pale daruso, na hilo jina amerudia shule zaid ya mara nne zote anafeli na mara ya tano akafaulu kwenda mazengo na hilo jina , ni bonge la kilaza sijui hta kwA nini wanjiramba walilichagua , Igunga peak hotel lilikamatwa na kijana mmoja anaitwa masanja linatoa rushwa akaliitia pccb likarushwa kichura huku yeye analichukua picha , liambieni libishe tumuite masanja aweke picha humu
post kama hizi zinaishusha sana hadhi Jamii forums
as much as i don't like ccm, sipendi upotoshwaji.
huyu jamaa alikua mwaka mmoja mbele yangu pale UDSM, wote tulikua tunafanya degree ya uchumi, he is super bright! check results zake za chuo, alipata scholarship ya BOT moja kwa moja, na alipata kutokana na matokeo yake mazuri, sasa nashangaa kusikia kwa mtu anayejifanya anamjua eti jamaa ni kilaza.