C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
baada ya kukaa na kupata malalamiko + kujionea mwenyewe uchafu unaofanywa na mabosi, watu wakubwa, waalimu wa vyuoni katika kuwanyonya mabinti zetu kingono kwamba ni lazima wafanye nao mapenzi la sivyo kazi hawapati, au wanawafukuza kazi au wanawabania katika nyanja mbali mbali nimechoshwa na hii tabia so sisi kama wakachaaa tutaanzisha mpango kabambe wa kupambana na hawa watu kwa support ya victims wenyewe ambao wamepata haya matatizo tutawalipua tunaweza kuwalipua hapa hapa jamii forum na jamii forum wakinibania nitawalipua kwa special blog ambayop itaandaliwa kwa ajili yenu
so ninyi watu wa
maofisini
benki
ngo's
makampuni ya simu
vituo vya redio
studio za muziki
makampuni ya fashion na urembo
wafanyabiashara wa maduka
waalimu vyuo vikuu
jaribuni kurekebisha tabia zenu la sivyo wakachaaa watawalipua tena sana na too soon
so ninyi watu wa
maofisini
benki
ngo's
makampuni ya simu
vituo vya redio
studio za muziki
makampuni ya fashion na urembo
wafanyabiashara wa maduka
waalimu vyuo vikuu
jaribuni kurekebisha tabia zenu la sivyo wakachaaa watawalipua tena sana na too soon