Viboko ni ishara ya Umasikini na Msongo wa mawazo.

Viboko ni ishara ya Umasikini na Msongo wa mawazo.

Mende mdudu

Senior Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
197
Reaction score
405
Nionyeshe wapi mtoto wa tajiri akipigwa viboko kufeli kwa wazazi hasira zao na umasikini wao unapelekea kumaliza au kupunguza stress kwa watoto akikosea kidogo kupiga atakacho pata cha kuacha maumivu au ukilema kwa watoto.

Wazazi jitaidi kuandaa kesho bora ya mwanao kuepuka kumfanya punda , malezi ya ukuaji wa mtoto haulekebishwi kwa kupigwa watu wenye hela wanaanda kesho ya watoto wao kwa kuwaingiza kwenye biashara zao,

Ukiona mtu yoyote anafikia atua ya kutumia fimbo kumuelimisha mtu anaonyesha ufinywu wa ufahamu wake,.

Ewe kapuku tafuta ela uache kuona fimbo ndo njia nzuri ya kumuelemisha mtoto.

Katika picha ni mtoto wa tajiri duniani akiwa ikulu ya white house anaandaliwa mifumo akiwa mdogo hajui bakora imefananaje.
 

Attachments

  • AP02-12-2025-000036A-0_1739368608526_1739368650239.jpg
    AP02-12-2025-000036A-0_1739368608526_1739368650239.jpg
    157.7 KB · Views: 25
  • President_Donald_Trump_with_reporters,_Elon_Musk_and_X_Æ_A-Xii_in_the_White_House_Oval_Office_...jpg
    President_Donald_Trump_with_reporters,_Elon_Musk_and_X_Æ_A-Xii_in_the_White_House_Oval_Office_...jpg
    3.8 MB · Views: 21
  • 7052.jpg
    7052.jpg
    27.6 KB · Views: 21
Nionyeshe wapi mtoto wa tajiri akipigwa viboko kufeli kwa wazazi hasira zao na umasikini wao unapelekea kumaliza au kupunguza stress kwa watoto akikosea kidogo kupiga atakacho pata cha kuacha maumivu au ukilema kwa watoto.

Wazazi jitaidi kuandaa kesho bora ya mwanao kuepuka kumfanya punda , malezi ya ukuaji wa mtoto haulekebishwi kwa kupigwa watu wenye hela wanaanda kesho ya watoto wao kwa kuwaingiza kwenye biashara zao,

Ukiona mtu yoyote anafikia atua ya kutumia fimbo kumuelimisha mtu anaonyesha ufinywu wa ufahamu wake,.

Ewe kapuku tafuta ela uache kuona fimbo ndo njia nzuri ya kumuelemisha mtoto.
𝕄𝕚𝕗𝕦𝕞𝕠 𝕪𝕒 𝕧𝕚𝕓𝕠𝕜𝕠 𝕚𝕝𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕟𝕚 𝕖𝕟𝕫𝕚 𝕫𝕒 𝕦𝕥𝕦𝕞𝕨𝕒 𝕤𝕒𝕚𝕧𝕚 𝕒𝕥𝕒 𝕒𝕜𝕚𝕝𝕚 𝕫𝕒 𝕨𝕒𝕥𝕠𝕥𝕠 𝕟𝕚𝕫𝕒𝕜𝕚𝕦𝕥𝕒𝕟𝕕𝕒𝕨𝕒𝕫𝕚 𝕞𝕦𝕖𝕝𝕖𝕜𝕖𝕫𝕖𝟚 𝕧𝕚𝕫𝕦𝕣𝕚 𝕒𝕥𝕒𝕜𝕦𝕖𝕝𝕖𝕨𝕒 𝕤𝕙𝕚𝕕𝕒 𝕞𝕕𝕒 𝕨𝕠𝕥𝕖 𝕥𝕦𝕟𝕒𝕨𝕒𝕫𝕒 𝕗𝕠𝕣 𝕣𝕖𝕧𝕖𝕟𝕘𝕖....
 
Mwalimu anakuchapa kumalizia hasira zake za vicoba au sio 😂😂😂
Wanak pigwa ni watoto wa kajamba nane sizani kama ada 10 M nao wanapigwa feza nk. Mwalimu anapewa laki mbili bado ana madeni uki ingia annga zake utajuta
 
Wanak pigwa ni watoto wa kajamba nane sizani kama ada 10 M nao wanapigwa feza nk. Mwalimu anapewa laki mbili bado ana madeni uki ingia annga zake utajuta
😂😂😂😂😂😂 Yani utajuta mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom