kwa hiyo walikataa kukaa ndani wakaweka vibanda nnje ya jengo la biashara ili watu wasiingie ndani wakija waishie hapo nnje, wao hawalipi kodi huku wanauza, walio ndani wanalipakodi lakini hawauzi.
Sasa kwanini hawataki kuingia ndani tukijua hapo nitarudi ku comment vitu vingine sasa wamezidi
vitu vingine unyumbu mi na ndugu yangu kariakoo ikifika saa kumi hufunga duka nakurudi home kisa hao jamaa anakwambia wanapanga bidhaa zao mpaka milangoni afu wanavunja bei mteja akija anaishia pale anasepa ye auze lini sasa na kodi ya jengo juu bado TRA bado leseni hao machinga wana penda vya bure
Tatizo vizimba vyote vya ndani vimechukuliwa na matajiri ambao huwakodisha kwa bei ya juu. Nashauri watu wa Serikalini na viongozi wenye vizimba wanyang'anywe wapewe machinga.
Humo ndani ingekuwa wanaingia bure nadhani wangekuwa wa kwanza kujaa,shida ni kwamba maeneo ya ndani wanasiasa wamejitwalia halafu wanawatoza kodi kubwa wamachinga,,na hili suala halijawahi kupatiwa ufumbuzi
Humo ndani ingekuwa wanaingia bure nadhani wangekuwa wa kwanza kujaa,shida ni kwamba maeneo ya ndani wanasiasa wamejitwalia halafu wanawatoza kodi kubwa wamachinga,,na hili suala halijawahi kupatiwa ufumbuzi
VURUGU DAR: Wafanyabiashara wamewasha moto katikati ya barabara eneo la Machinga Complex jijini Dar baada ya kukuta vibanda vyao vimevunjwa, zimamoto wawasili. [HASHTAG]#Mwananchileo[/HASHTAG]
Ngoja kwanza, hapa tunawazungumzia hawa walio nje ya jengo maalum kwa ajili yao, pia sijasema kuwa naunga mkono waokufukuzwa, kuna mengi sana yakuangalia, je ni kwanini hawataki kuuza bidhaa ndani, kuna kipindi walikuwa wanalalamikia utawala wa jengo, je ishu yao isha kuwa solved.