Viatu vya mchuchumio vinavyowatesa wanawake…..!

Haya bana rafiki FP maana unaweza kuvunja shingo na kumkata mtu jicho la "we vipi?" kumbe yuko katika lugha ya kule kulikovunjika mpini kukabaki jembe.... nyumbi hii na bombi hii lol!
h haaaaaaaaa, usitie shaka rafiki, taratiiiibu utaelewa.
mimi najitolea kukufundisha lugha kabla hujaenda ili usije ukaachwa kwenye mataa.........
nitasaidiana na mlongo wangu snowhite, ila jiangalie unaweza nyweshwa sumu, lol!
 
Last edited by a moderator:
Chizika rafiki kwa raha zako/zenu mapenzi yenyewe ya siku hizi unayaona macho watu juu juu kama vyura lol! Weye umebahatika kuwa na mwenzio mnayependana kiasi hicho basi jirusheni na penzi lenu moto moto kwa raha zenu.

wewe rafiki na hii miziki yako........
asante sana, ngoja niendelee kuchizika kwa raha zangu, lol!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Za magono rafiki? hahahahah lol! :behindsofa:...NANI KANUNA!?


h haaaaaaaaa, usitie shaka rafiki, taratiiiibu utaelewa.
mimi najitolea kukufundisha lugha kabla hujaenda ili usije ukaachwa kwenye mataa.........
nitasaidiana na mlongo wangu snowhite, ila jiangalie unaweza nyweshwa sumu, lol!
 
Last edited by a moderator:
Shikamana rafiki wengi wanatafuta penzi lililokolea kama hili la kwenu wanaishia kukutana na vimeo, ni nadra sana katika Ulimwengu wa leo kuyapata mapenzi matamu kiasi hicho.



wewe rafiki na hii miziki yako........
asante sana, ngoja niendelee kuchizika kwa raha zangu, lol!
 
Za magono rafiki? hahahahah lol! :behindsofa:...NANI KANUNA!?

ha ha haaaaaa, zabwina rafiki, lol!
naona spidi yako si muchezo, ha haaaaaaaaaaa
Teja halinuni tena bwana labda mlongo wangu snowhite ndo kanuna, lol!
 
Last edited by a moderator:
Shikamana rafiki wengi wanatafuta penzi lililokolea kama hili la kwenu wanaishia kukutana na vimeo, ni nadra sana katika Ulimwengu wa leo kuyapata mapenzi matamu kiasi hicho.
asante sana rafiki, ndo maana umekuwa rafiki yangu maana unanitia moyo sana, shukrani sana na endelea kunitia moyo hivyo hivyo..... asante sana
 
Reactions: BAK
Nashukuru hujanitaja yangekupata ya mtema kuni weeeeeeeeee
 

Kama hujui kikitembelea ni maafa.
 
Ila kweli yote uliyosema hapo juu nashukuru kkwa kutusaidia kwani viatu virefu vimekuwa tatizokwa akina dada na mama zetu ni vizuri kwa kuwa unakuwa na muonekano nadhifu sana ila vinaleta magonjwa ya mgongo hapo baadaye a
asante kaka mtambuzi ila niseme hivi mkeo naye mbona hujamtaja katika list hiyo hapo juu mana niko naye hapa ofisini eti
 
Umenena vema Ashadii...kiatu kirefu ndio mpango mzima...kwa anayekiweza lakini.

Yani unajua ukivaa kiatu kirefu unajikuta una swing kama miss...yani unakuwa na mwendo wa madaha fulani tofauti na flat shoes ambazo zinakufanya utembee mwendo wako halisi...

Niko na mama mkwe hapa ananambia anajuuuta kuvaa viatu virefu akiwa kijana...anavihusisha na miguu yake kuuma sasa akiwa ameshazeeka....hivyo kuna madhara uzeeni...lakini hiyo hainitishi...napenda sana viatu virefu.


 
Rafiki FP in pursuit of greatest love of all, but please remember not to go crazy eeh! NANI KANUNA!? :majani7::majani7::majani7:


asante sana rafiki, ndo maana umekuwa rafiki yangu maana unanitia moyo sana, shukrani sana na endelea kunitia moyo hivyo hivyo..... asante sana
 
Last edited by a moderator:
Rafiki FP in pursuit of greatest love of all, but please remember not to go crazy eeh! NANI KANUNA!? :majani7::majani7::majani7:

he heeeeee, asante sana rafiki....
mi hata sijui nani kanuna hapa.... au teja?
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…