Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,839
- 7,924
- Thread starter
- #61
Kumbe unataka za kung'aaaaaa
Kumbe unataka za kung'aaaaaa
Natumia kamera ya bei rahis
sasa unatumia kamera ya bei rahisi alafu unataka kuuza viatu vya bei ya juu ,au unauza clonesNatumia kamera ya bei rahisView attachment 1894637
We jamaa unapenda sana ligi,mim si mpenz wa simu za bei kali natumia tecno ya bei rahisi na ndio maana camera yake ni ya kawaida lkn haimaanish kuwa siwez kwenda kukopa simu ya bei kali na kulipa kidogo kidogo.sasa unatumia kamera ya bei rahisi alafu unataka kuuza viatu vya bei ya juu ,au unauza clones
Alafu hii picha yako ni kwa msaada wa gogo haujaipiga ww
Mwana unikome😂😂Hizi ndala kitaalamu zinaitwaje😂???
Hii baba'aake kinavaa kizazi chote mpaka wanatupa!
Hivi hata bure na fimbo juu sivai,naonaga Wasukuma wakishamaliza kuuza ngo'mbe wao pale Vingunguti unakutana nao pale Congo Str kwa wachagha wakivigombania.
hahah haya twende humuHivi hata bure na fimbo juu sivai,naonaga Wasukuma wakishamaliza kuuza ngo'mbe wao pale Vingunguti unakutana nao pale Congo Str kwa wachagha wakivigombania.

hiyo picha sjapiga mimi ndiyo ila wamepiga wafanyabiashara wenzako walioamua kuwa serious kidogo na kaziAlafu hii picha yako ni kwa msaada wa gogo haujaipiga ww
We jamaa unapenda sana ligi,mim si mpenz wa simu za bei kali natumia tecno ya bei rahisi na ndio maana camera yake ni ya kawaida lkn haimaanish kuwa siwez kwenda kukopa simu ya bei kali na kulipa kidogo kidogo.



sawa mkuuHapana mkuu mimi niweke humu (Converse),hivo vya kutembea juu juu siviwezi,hivi viatu nina kila rangi kasoro pink na yellow tu na havichoshi kuvaa.hahah haya twende humuView attachment 1894946
Hata mim nipo sirias Ila hawa jamaa umewapenda sanahiyo picha sjapiga mimi ndiyo ila wamepiga wafanyabiashara wenzako walioamua kuwa serious kidogo na kazi
All star converse brand ya kitambo sanaHapana mkuu mimi niweke humu (Converse),hivo vya kutembea juu juu siviwezi,hivi viatu nina kila rangi kasoro pink na yellow tu na havichoshi kuvaa.View attachment 1894962View attachment 1894965
Namba ngapi? Na tarehe ngapi kinaenda