Viatu Viatu For Sell

Viatu Viatu For Sell

Tehehehe hehehehe wakuu vipi mbona mnamvunja moyo mleta uzi. We weka bei aliye serious atakutafuta, ukianza kufatilia habari za USA RIVER, watakupeleka King'ori
 
Tehehehe hehehehe wakuu vipi mbona mnamvunja moyo mleta uzi. We weka bei aliye serious atakutafuta, ukianza kufatilia habari za USA RIVER, watakupeleka King'ori

Ah unajua kuna watu wamezoea mambo ya fb sasa wanataka kuleta huku...
 
Hvyo viatu vimetoka USA kweli sio kwamba amevinunua njia wakati anarudi kutoka US
 
Vitu vingine muwe mnatoa sadaka. Nayo ni ibada. Utapata kiasi gani hapo ukiuza?
 
Sasa mkuu wivu huhusu USA? Mi sipati shida huenda umetumiwa na 50cent ulipoenda ulimpa Huduma safi ya mtandao pendwa akaamua akukirimu viatu vya walemavu
Kwamba 50 alimfanyaje jamaa??? Hiyo itakuwa kabla Trump hajaapishwa??
 
Unataka kuanza yako nikupe tampons zilizobaki?
Mamamaaaa... mbona naona jamaa ni kama mwanaume?? Asa ataziweka wapi hizo makitu??? Angalia Trump hajalala...

BTW buti ikitokea China afu ikaenda USA then ikaja Bongo, huoni kwamba hicho ni kivutio cha watalii???
 
Back
Top Bottom