Viapo vya kujiunga Jesuit

Viapo vya kujiunga Jesuit

Wasabato au Waelleni,
sio dhehebu la kuhubiri Injiri ya Yesu kristo.
Malengo yao ni mawili tu

1.Kuitanga Sabato

2.Kuwakashifu viongozi na waumini wa dhehebu la Roman Kathoric

Hayo ndio majukumu waliyoachiwa na nabii wao
Ellen G. White.

Hivyo msishangazwe na wanayowaambia, wanatimiza majukumu yao.

Ona hapa Yesu anavyowaagiza wafuasi wake.
"Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia. Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure toeni bure"
Mathayo 10 : 7-8

"Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama mimi nipo nanyi sikuzote hata ukamilifu wa dahari.
Mathayo 28 : 19-20

Hayo ndo maagizo ya Yesu Kristo.

Wao ni wanafunzi wa Elleni G. White
Kwani mafundisho yao yanatoka kwa Elleni, ambayo yapo katika vitabu vyake kama
Tumaini Kuu
The Desire of Ages
The Great Controversy
nk.
Hivyo vitabu vinafundisha kutangaza Sabato na kuwakashifu Waroman Kathoric
Hii ndio dhamira ya Wasabato kwa sasa wanajulikana kama
Waelleni.
Kama swala ni kuwaonya wapinga Kristo, basi tungewasikia Waelleni wakipinga madhebu yote ambayo hayafuati mafundisho ya Yesu Kristo kama
Waislamu
Wabudha
Wahindu
Warusiferi
Wapagani
Wajesuit
Wamomoni
Warastafari
Nk
Hao ni baadhi tu ya Wapinga Kristo, yaani hawafuati mafundisho ya Bwana Yesu kama agizo la Ubatizo.
Lakini Waelleni hawawagusi kabisa, wao ni
RC... RC... RC... na hawana uwezo wa kuacha mbiu yao hiyo
Ni maagizo ya Mungu wao Mke
Ellen G. White.
 
chakunifurahisha ktika hivyo viapo jina la Bwana Yesu limetajwa tena mara nyingi, kumbe sio wapinga Kristo yesu alisema wasio kinyume nasi ni miongoni mwetu.
mtoa mada kajipange!
Hata viapo vya masonic ,jina la yesu linatajwa

SI KILA ASEMAYE BWANA ,BWANA ATAUONA UFALME WA MBINGUNI
 
kama kweli una lengo la kusaidia hubiri watu watende mema. Mungu hana dini kuna wakatoliki wataungia mbinguni, wasabato na waislam hivyohivyo sio sababu ya dini zao ila matendo
 
Mbona kila imani ina amini ndo wao watakuja kutawala wengine tuamini lipi
Katika wote hao unaosema.
Haijawahi kutokea kiongozi wao akawaambia
"Mimi ndiye. NJIA, KWELI NA UZIMA."
Isipokuwa Yesu Kristo.
Jiulize kwanini viongozi wao hawajawaambia wafuasi wao hivyo?
(Wengine kiongozi wao amewaambia
"SIJUI NITAKACHO FANYWA MIMI NA MTAKACHOFANYWA NYIE".)

Jiulize kiongozi gani amewaambia wafuasi wake
" NAENDA KUWAANDALIA MAHALI ILI NILIPO NANYI MUWEPO"
Isipokuwa Bwana Yesu Kristo.
au akathubutu kusema
" NAMI NIKO NANYI HADI MWISHO WA DAHARI"
au
"MKIOMBA LOLOTE KWA JINA LANGU NAMI NITAFANYA"
au
"NIMEPEWA MAMLAKA YOTE MBINGUNI NA DUNIANI"
(maana yake hapo)
Ana mamlaka yote mbinguni na duniani.

Toka dunia ianze hadi itaisha hakuna kiongozi wa imani aliye au atakaye thubutu kusema hayo maneno.

Usifuate imani mfuate huyo mwenye mamlaka ya Mbinguni na Duniani.
Usiangalie rangi wala maneno matamumatamu. Angalia mamlaka ya huyo unaye mtegemea.
Nimekumegea hii siri, mwambie na mwenzako.
 
mtoa mada kazungumzia kuhusu kidogo kuhusu Jesuit and their operation in teh world watu mnatoa mapovuuuuu
naona amjui vizuri roman empire ni kitu gani mmebaki anachafua dini za watu sijui nini
msiwe wavivu wa kusoma na kufatilia mambo
hakuna kiongozi utawala wa dunia hii ambao uko kinyume na roman empire ndio mana pope anaenda sehemu yyt dini yyt na anapokelewa na kusikilizwa very respectful leader
nchini tanzania uchaguzi uliopita kanisa la lutheran church lilikua kwenye battle na kanisa la roman cathoric
ujumbe wa roman cathoric kwa raisi wa sasa ulitekelezwa mkoani mbey katika kampeni ambapo
watumishi wa kanisa sisters walitumwa kumpa barak our president
hapo ndo tukaona ana amka na kusimama zaidi na kuanza kueleweka miongoni mwa watanznia
nothing operates without roman empire in the world
juzi juzi baada ya pope kutoka saudia ambako pia alishiriki ibada ya ijumaa msikiti mmoja kama waislam wengine akaondoka na kurudi italy vatican rais wa marekani trump alimfata na kuzungumza nae
pope is the father of this world a highly ranked leader very powerful
nyie wakatoliki wavivu wa kusoma poleni
 
mtoa mada kazungumzia kuhusu kidogo kuhusu Jesuit and their operation in teh world watu mnatoa mapovuuuuu
naona amjui vizuri roman empire ni kitu gani mmebaki anachafua dini za watu sijui nini
msiwe wavivu wa kusoma na kufatilia mambo
hakuna kiongozi utawala wa dunia hii ambao uko kinyume na roman empire ndio mana pope anaenda sehemu yyt dini yyt na anapokelewa na kusikilizwa very respectful leader
nchini tanzania uchaguzi uliopita kanisa la lutheran church lilikua kwenye battle na kanisa la roman cathoric
ujumbe wa roman cathoric kwa raisi wa sasa ulitekelezwa mkoani mbey katika kampeni ambapo
watumishi wa kanisa sisters walitumwa kumpa barak our president
hapo ndo tukaona ana amka na kusimama zaidi na kuanza kueleweka miongoni mwa watanznia
nothing operates without roman empire in the world
juzi juzi baada ya pope kutoka saudia ambako pia alishiriki ibada ya ijumaa msikiti mmoja kama waislam wengine akaondoka na kurudi italy vatican rais wa marekani trump alimfata na kuzungumza nae
pope is the father of this world a highly ranked leader very powerful
nyie wakatoliki wavivu wa kusoma poleni
Hahahaha hahahaha kazi unayo.....!
 
NIMESHTUSHWA NA MTOA MADA. SIJAONA UKWELI WOWOTE KATIKA ALICHOANDIKA. AMEKOPI NA KUPEST. AENDE KUSOMA VIZURI NA KUFANYA RESEARCH. IMANI YA WATU SIO JAMBO LA KUCHEZEA
 
NIMESHTUSHWA NA MTOA MADA. SIJAONA UKWELI WOWOTE KATIKA ALICHOANDIKA. AMEKOPI NA KUPEST. AENDE KUSOMA VIZURI NA KUFANYA RESEARCH. IMANI YA WATU SIO JAMBO LA KUCHEZEA
Acha povu

Ukweli unaoutaka ww ni ipi?

Viapo vya Kujiunga jesuit vipo ktk website ya rc na nimevinukuu

Hebu wew vilete vya ukweli tufananishe tujue nan muongo
 
Maana Halisi na kazi ,malengo ya Jesuit Fathers Worldwide: Wasabato acheni kupotosha watu na Masalia Yenu

Jesuit Society ,
The Society of Jesus, more commonly known as the Jesuits, is a society within the Roman Catholic Church that was founded by Ignatius of Loyola and instituted by Pope Paul III. The Jesuit society demands four vows of its members: poverty, chastity, obedience to Christ, and obedience to the Pope. The purpose of the Jesuits is the propagation of the Catholic faith by any means possible.

Ignatius of Loyola was a Spanish nobleman and intended to have a career as a professional soldier. A cannonball shattered his leg in 1521, and his career was shattered with it. During his long recovery at the castle of Loyola, he spent much time reading religious books, fasting and praying. As a result of these studies, Ignatius decided to become a soldier of Christ, and hung up his sword at the altar of Mary in Montserrat. From 1522 to 1534, Loyola traveled to monasteries and schools, studying and praying in preparation for a life consecrated to Christ. Toward the end of his graduate studies at the University of Paris, he and six friends who had been meeting for times of extended prayer and meditation vowed to continue their companionship after graduation by living in evangelical poverty and traveling as missionaries to Jerusalem. When war between the Turks and Venice prevented their passage to Jerusalem, they determined to work in the cities of northern Italy. Loyola presented his plan for service to the Vatican and received a papal commission from Pope Paul III in 1540, with Loyola receiving a lifetime appointment as General.

With the threat of Islam spreading across the Mediterranean region, the Jesuits' first focus was the conversion of Muslims. Shortly after the founding of the order, their focus shifted to counteracting the spread of Protestantism. The Counter-Reformation in the 16th and 17th centuries was largely due to the Jesuits. With their vows of total obedience to the Pope and their strict, military-style training, the Jesuits became feared across Europe as the “storm troopers” of the Catholic Church, and they led armies which recaptured large areas for the Roman Catholic Church. Along with the military actions, their work centered on education and missionary expansion, and by the end of Loyola's life in 1556, there were Jesuits in Japan, Brazil, Ethiopia, and most parts of Europe. Many of the explorers of that period were accompanied by Jesuit priests, eager to bring Catholicism to new lands.

The Jesuits are still active in the world today, though the military actions of those early years have been left behind. The goal of spreading the Catholic faith is still their primary objective, and they do it through missionary work and education. As for their beliefs, they hold to the historic teachings of the Roman Catholic Church. The practice of “Ignatian spirituality” follows the spiritual exercises of Ignatius Loyola and forms the foundation of their daily lives. The goal of these practices is to conquer and regulate the inner personal life so as to be submissive to God. One of the key practices is separation from all friends and acquaintances, in order to attend Mass and Vespers daily without interference. Another practice is deep and constant meditation on the sins that have been committed, so as to rouse intense sorrow for sins. To address all of their exercises would take far more space than this article allows.

As is the case with the Catholic Church in general, there is certainly an appearance of godliness and spirituality that is readily seen in the Society of Jesus / Jesuits. When we compare their beliefs and practices with the Bible, however, it would appear that they have “a form of godliness, but denying the power thereof” (2 Timothy 3:5, KJV). The difference between Roman Catholic belief and the biblical presentation of the gospel has been well phrased in a question “do or done?” What must I do to get to heaven (Catholicism), or what has Christ done to get me to heaven (biblical Christianity)?
ww.gotquestions.org/Jesuits-Society-of-Jesus.html
WASABATO lengo Lao kuu sio kuhubili na kumtangaza Kristu lengo Lao kuu ni kupata waumini waongeze sadaka makanisani kwao................ndio maana wao wanashambulia makanisa mengine yanayo Muhubiri Kristu......MSABATO atamshambulia mkatoliki...hataishia hapo atamshambulia mlutheli.....atamshambulia muanglikani.....hataishia hapo atamshambulia muislam....YOTE NI KUJINADI KUWA WAO NI KANISA BORA
MWNJILI MAT 7:15 anatuasa tujihadhali na manabii wa uongo

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
hvyo viapo huapa wakiwa wapi maana sjawahi kusikia katika misa za upadrisho viapo vya aina hyo ?
 
Ifike wakati nyie wa adventist muwe mnahubiri neno la amani na sio kuleta maneno yasiyo natija yenye vitisho na yasiyo na ukweli wwt
Sijui kama hilo litaweza kutokea.

Nabii wao Ellen G White, amewaachia vitabu vingi sana vyenye maagizo makuu mawili ya kuyafanya.

1. Kuishika sabato.

1. Kuwakashifu Waroman Cathoric.

Haitatokea Wasabato wakawasema vibaya madhehebu mengine, hawajaagizwa kusema hivyo na Nabii wao, Ellen.

Ninachotaka kuwashauri Wasabato.
Bwana Yesu alisema

"Ombeni neno lolo kwa jina langu nami nitafanya"

Wawaombee Waromani Cathoric ili wawe watakatifu kama wao kama wanawaona ni Wapinga Kristo. Waombee ili nao waweze kuishika Sabato vizuri.

Wasiwaogope Waroma kuwa watatawala dunia na kuwatesa kwani Bwana Yesu alisema

"Msimuogope mtu anayeuwa mwili bali mwogopeni yeye auwaye mwili na roho"

Sasa waanze kuhubiri Habari Njema ya Kristo badala ya kila kukicha kuwasema Waroma.

Wawasamehe Waroma kama Kristo alivyoagiza kuwa, wawasamehe hadi maadui zao na kuwapenda.

Waache kumwamini sana na kumfuatisha Ellen G White kila alichokisema, bali wamtii Yesu Kristo ambaye aliagiza wanafunzi wake na kuwaambia÷

"Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa Mbinguni umekaribia. Pozeni magonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo, mmepata bure toeni bure"
Mathayo 10 : 7 - 8

Waanze kwenda kwa jamii ya wasiokuwa Wakristo na kuwahubiria Injili badala ya kuendekeza mambo ya chuki, malumbano kwa Waroma.

Papa alishaomba radhi na kitubu kwa mambo yaliyofanywa na viongozi wa kanisa huko nyuma, hivyo kama ni Wakristo wa kweli inabidi wamsamehe na ikiwezekana wamshauri Papa kuishika vizuri hiyo Sabato.

Waache kuendelea kuhubiri chuki kwa Waroma kila kukicha.

Nawasilisha.
 
hvyo viapo huapa wakiwa wapi maana sjawahi kusikia katika misa za upadrisho viapo vya aina hyo ?
UTAVISIKIA WAPI , KANISAN X MASS MPAKA X MASS NA BIBLIA ANAKUSOMEA PADRE

HEBU tumsikie Padre malach martin

“Tupende au tusipende, tuwe tayari au tusiwe tayari,
sisi sote tunaingizwa katika mashindano kamili
ya aina tatu ya ulimwengu huu, ambayo hayana
kizuizi cho chote kilichowekwa. Hata hivyo,
wengi sana miongoni mwetu si washindani. Sisi
ni mambo tu zilizopigiliwa njiani. Kwa maana
shindano hilo ni juu ya nani atakayeuanzisha
mfumo wa kwanza wa serikali ya ulimwengu mzima
ambayo haijapata kuwako kamwe katika jamii hii ya
mataifa … Shindano hilo ni la kufa na kupona kwa
sababu, kwa vile sasa limeanza, basi, hakuna njia yo
yote inayoweza kuligeuza au kulisimamisha.”
Malachi Martin, Mjesuti, azijuaye siri za ndani zaVatikani,
Keys of This Blood, uk. 15.

YHWH IS GOOD
 
WASABATO lengo Lao kuu sio kuhubili na kumtangaza Kristu lengo Lao kuu ni kupata waumini waongeze sadaka makanisani kwao................ndio maana wao wanashambulia makanisa mengine yanayo Muhubiri Kristu......MSABATO atamshambulia mkatoliki...hataishia hapo atamshambulia mlutheli.....atamshambulia muanglikani.....hataishia hapo atamshambulia muislam....YOTE NI KUJINADI KUWA WAO NI KANISA BORA
MWNJILI MAT 7:15 anatuasa tujihadhali na manabii wa uongo

I BLNG 2 JESUS CHRST
MSIKILIZE MJESUIT PADRE MALACH MARTIN

“Tupende au tusipende, tuwe tayari au tusiwe tayari,
sisi sote tunaingizwa katika mashindano kamili
ya aina tatu ya ulimwengu huu, ambayo hayana
kizuizi cho chote kilichowekwa. Hata hivyo,
wengi sana miongoni mwetu si washindani. Sisi
ni mambo tu zilizopigiliwa njiani. Kwa maana
shindano hilo ni juu ya nani atakayeuanzisha
mfumo wa kwanza wa serikali ya ulimwengu mzima
ambayo haijapata kuwako kamwe katika jamii hii ya
mataifa … Shindano hilo ni la kufa na kupona kwa
sababu, kwa vile sasa limeanza, basi, hakuna njia yo
yote inayoweza kuligeuza au kulisimamisha.”
Malachi Martin, Mjesuti, azijuaye siri za ndani zaVatikani,
Keys of This Blood, uk. 15.

YHWH IS GOOD
 
Sijui kama hilo litaweza kutokea.

Nabii wao Ellen G White, amewaachia vitabu vingi sana vyenye maagizo makuu mawili ya kuyafanya.

1. Kuishika sabato.

1. Kuwakashifu Waroman Cathoric.

Haitatokea Wasabato wakawasema vibaya madhehebu mengine, hawajaagizwa kusema hivyo na Nabii wao, Ellen.

Ninachotaka kuwashauri Wasabato.
Bwana Yesu alisema

"Ombeni neno lolo kwa jina langu nami nitafanya"

Wawaombee Waromani Cathoric ili wawe watakatifu kama wao kama wanawaona ni Wapinga Kristo. Waombee ili nao waweze kuishika Sabato vizuri.

Wasiwaogope Waroma kuwa watatawala dunia na kuwatesa kwani Bwana Yesu alisema

"Msimuogope mtu anayeuwa mwili bali mwogopeni yeye auwaye mwili na roho"

Sasa waanze kuhubiri Habari Njema ya Kristo badala ya kila kukicha kuwasema Waroma.

Wawasamehe Waroma kama Kristo alivyoagiza kuwa, wawasamehe hadi maadui zao na kuwapenda.

Waache kumwamini sana na kumfuatisha Ellen G White kila alichokisema, bali wamtii Yesu Kristo ambaye aliagiza wanafunzi wake na kuwaambia÷

"Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa Mbinguni umekaribia. Pozeni magonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo, mmepata bure toeni bure"
Mathayo 10 : 7 - 8

Waanze kwenda kwa jamii ya wasiokuwa Wakristo na kuwahubiria Injili badala ya kuendekeza mambo ya chuki, malumbano kwa Waroma.

Papa alishaomba radhi na kitubu kwa mambo yaliyofanywa na viongozi wa kanisa huko nyuma, hivyo kama ni Wakristo wa kweli inabidi wamsamehe na ikiwezekana wamshauri Papa kuishika vizuri hiyo Sabato.

Waache kuendelea kuhubiri chuki kwa Waroma kila kukicha.

Nawasilisha.
WEWE ACHA UJUAJI WAKATI HUJUI

SABATO IMEAMRIWA NA BIBLIA

NA KUHUSU KUSEMA TUNAIISAKAMA RC. ,BAS ILAUMU BIBLIA

Si kusudi la makala Zangu kuwashambulia
watu binafsi, bali kusimulia kidogo
historia ya mambo ya mbele ambayo
yalitabiriwa katika Biblia kuhusu
Mfumo huo au Dini hiyo ya Kikatolik


YHWH IS GOOD
 
mtoa mada kazungumzia kuhusu kidogo kuhusu Jesuit and their operation in teh world watu mnatoa mapovuuuuu
naona amjui vizuri roman empire ni kitu gani mmebaki anachafua dini za watu sijui nini
msiwe wavivu wa kusoma na kufatilia mambo
hakuna kiongozi utawala wa dunia hii ambao uko kinyume na roman empire ndio mana pope anaenda sehemu yyt dini yyt na anapokelewa na kusikilizwa very respectful leader
nchini tanzania uchaguzi uliopita kanisa la lutheran church lilikua kwenye battle na kanisa la roman cathoric
ujumbe wa roman cathoric kwa raisi wa sasa ulitekelezwa mkoani mbey katika kampeni ambapo
watumishi wa kanisa sisters walitumwa kumpa barak our president
hapo ndo tukaona ana amka na kusimama zaidi na kuanza kueleweka miongoni mwa watanznia
nothing operates without roman empire in the world
juzi juzi baada ya pope kutoka saudia ambako pia alishiriki ibada ya ijumaa msikiti mmoja kama waislam wengine akaondoka na kurudi italy vatican rais wa marekani trump alimfata na kuzungumza nae
pope is the father of this world a highly ranked leader very powerful
nyie wakatoliki wavivu wa kusoma poleni
Vicorious filli dei
King of kings
The martyr
The coming jesus.
 
Wasabato ni watu waliotawaliwa na stress sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
mojawapo la Fundisho LA UONGO la Kiroma ni kwamba papa ni kichwa
kinachoonekana kwa macho cha kanisa la ulimwengu mzima la Kristo, kwamba
amepewa mamlaka ya juu kabisa juu ya maaskofu na wachungaji wote katika sehemu
zote za dunia hii. Zaidi ya hayo, papa amepewa vyeo vya Mungu.

Amepewa cheo cha
“Bwana Mungu Papa,” tena ametangazwa kuwa hawezi kukosea kamwe. Anadai
kwamba wanadamu wote wanapaswa kumsujudu yeye. Dai lile lile alilolisisitiza Shetani
katika nyika ile ya majaribu bado linasisitizwa naye [papa] kupitia katika Kanisa la
Roma, na idadi kubwa sana ya watu wako tayari kumsujudu yeye.

HEBU TUMNUKUU PAPA LEO WA 13

“Tunashikilia hapa duniani
mahali pa
Mungu Mwenyezi."
Papa Leo wa 13,
Katika Barua yake ya Utume,
Juni 20, 1894.

02200254d5e1e7009c6b44049f29b20d.jpg


YHWH IS GOOD
 
Sijui kama hilo litaweza kutokea.

Nabii wao Ellen G White, amewaachia vitabu vingi sana vyenye maagizo makuu mawili ya kuyafanya.

1. Kuishika sabato.

1. Kuwakashifu Waroman Cathoric.

Haitatokea Wasabato wakawasema vibaya madhehebu mengine, hawajaagizwa kusema hivyo na Nabii wao, Ellen.

Ninachotaka kuwashauri Wasabato.
Bwana Yesu alisema

"Ombeni neno lolo kwa jina langu nami nitafanya"

Wawaombee Waromani Cathoric ili wawe watakatifu kama wao kama wanawaona ni Wapinga Kristo. Waombee ili nao waweze kuishika Sabato vizuri.

Wasiwaogope Waroma kuwa watatawala dunia na kuwatesa kwani Bwana Yesu alisema

"Msimuogope mtu anayeuwa mwili bali mwogopeni yeye auwaye mwili na roho"

Sasa waanze kuhubiri Habari Njema ya Kristo badala ya kila kukicha kuwasema Waroma.

Wawasamehe Waroma kama Kristo alivyoagiza kuwa, wawasamehe hadi maadui zao na kuwapenda.

Waache kumwamini sana na kumfuatisha Ellen G White kila alichokisema, bali wamtii Yesu Kristo ambaye aliagiza wanafunzi wake na kuwaambia÷

"Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa Mbinguni umekaribia. Pozeni magonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo, mmepata bure toeni bure"
Mathayo 10 : 7 - 8

Waanze kwenda kwa jamii ya wasiokuwa Wakristo na kuwahubiria Injili badala ya kuendekeza mambo ya chuki, malumbano kwa Waroma.

Papa alishaomba radhi na kitubu kwa mambo yaliyofanywa na viongozi wa kanisa huko nyuma, hivyo kama ni Wakristo wa kweli inabidi wamsamehe na ikiwezekana wamshauri Papa kuishika vizuri hiyo Sabato.

Waache kuendelea kuhubiri chuki kwa Waroma kila kukicha.

Nawasilisha.
Kumbuka Ellen G White,,ni mmoja kati ya watu walio anzisha Jehovah Witness
 
Back
Top Bottom