ya wote mdogo wangu! si unajua mimi ni cha wote! wanajisevia tu! hata yako ilete nitaibebea mgongoni!Hahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!
Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!
snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!
Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...
Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
khe za siku nyingi shost naona umeamua kuokoa jahaziya wote mdogo wangu! si unajua mimi ni cha wote! wanajisevia tu! hata yako ilete nitaibebea mgongoni!
utu uzima jalala mdogo wangu! eo hata used c.o.ndoms napokea tu! khaaaaa, majanga mwali! gari apande yeye, raha pate yeye, povu limtoke Mentor! jamani mumuwacheeeeeeeeeee shoga angu apumuweeeeeeee!khe za siku nyingi shost naona umeamua kuokoa jahazi
umemaliza yoteeeeeeeeeeeeeeeee! bhassssssssssssssssssssss!
WE ACHA TU!
yani nimekumiso kama nini niendikiemo piemu!
af nitumiemo na zile picha basi nataka niwe nakuangalia ujue!
Mhmm huu mchezo ni mbaya naona sitaki kuucheza maana hapa naona zauso mimi nitaendeaga kunya zapa>>>nzaz cacico atanitafutia!!ila wewe bazazi Asprin unajua makitu hii halafu hunitonyi nimesikia hata dabokibini yako inahusika!!CC watu8, Madame BHahaha kama hujui matumizi yake...wewe hata duet inakutosha!!!!
Ivi bado hujajifungua!?? Ivi ni mimba ya Asprin au ya Kaizer ??!
snowhite...mwanzoni nilidhani ni verossa ila nimekuja kugundua hata bajaji has the same effect..tutajionea mengi humu!
Chezea cacico wewe!!!! me knows her..muulize alikuwa na nani pale PSPF...
Kitu zanzi KakaKiiza, itafute. Ingawa dada gfsonwin aliniambia kiwanda kimefungwa!!!
mume wangu! nimekomaaaaaaa kujichanganya na watoto wadogo! anakupa za uso mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeee! njoo mume wangu nikupe nishavua ujue!Mke wa ujana wangu umeanza lini umbea?
Haya nipe sababu kuu mbili kwanini leo asubuhi hujaniamsha. Hivi hujui kupata cha asubuhi ni haki yangu uliyoapa kunipa kila siku kasoro siku nne au tano za mwezi?
Baada ya kusema hayo hebu nifafanulie binti amu hapa anadiskashen makitu gani?
Mi ngashoka mpaka baaasi na machale kundesa...
hebu tukutananeni leo tupo hapa! kwa muhtasari a hii madiskasheni! copy Mtambuzi
hubby! mimi na we tuna nini naye?? mbona saa yetu haijawadia ya kutiwa mikononi mwao??
we nawe mpana! utaseba pazia la leba! hebu kaa pembe kwanza, zamu yako ikifika utakuwa huna mpambe ujue!kupigwa amepigwa yeye uroda kapata yeye jamvini kawahi Mentor kibao kamgeuzia yeye majanga !!!
verossa kanunua yeye kupanda umepanda yeye wazungu katoa mwingine mapovu anatokwa Mentor majanga kweli majanga kweli majanga!!!
nyimbo kapig yeye shoo wamecheza wao kwenye verossa shoo amecheza yeye video anataka kushoot Mentor kweli haya ni majanga
ugoni wamecheza wao tena kwenye verossa yao hela ya guest anadai Mentor kweli majanga
makubaliano yao wenyewe mapenzi yao wenyewe talaka anadai Mentor kweli majanga
tired of shit
***VEROSSA***
Inside a Verossa he took off her clothes and wit them her dreams
There we lost an MD, a sister and a fine Mrs. Me.
mke mwenza muite FP tukafagiepo kidogo kaburi la wetu mume! kabla hatujawekwa front page!