Hahahaha....anafumua makaburi na mafuvu yake.
Ila mwanafunzi wangu, wahenga wanasema ya kale ni dhahabu, mavi ya kale hayanuki na mdharau kwao mtumwa.
Btw mwanafunzi wangu mtiifu wewe, ni nani aliyekuficha mpaka huonekani popote?
Kila nikiku-search, sikuoni.....au
DEMBA ndio anakufanya utusahau?