Naridhika hata kwa mbilimbi usinisemee asee
Miss you more galpal😀😀😀 😀😀
Nawamiss mjue...
Mie sikulichukia ila kutoka moyoni sikuamua kulielewa tu na wala sikuhangaika kabisa, na kwenye papers swali lake nilikuwa kama silionagi vile, naselect tu mengine. Khaaa hapana tu. Kwa hiyo ningeamua kuelewa, ningelielewa tu by hook or by crookDamn gal!, hivi vitu gani umeandika hapo juu mweh!, akha mwenzangu nenda ka coordinate na ku geometrize mwenyewe...lol
Jamani nililichukia hili somo, mpaka na lenyewe likaanza kunichukua. Ikabidi nianze kulipenda ili nilimudu, cha ajabu sasa nilipoamua kulipenda ndo nikawa naliweza.
Nakuomba utulie na mie huko kwingine watakuvuruga vuruga kama elimu bure, na wakutelekeze kama shule za kataUnajua nakuthamini zaidi ya nyota na gwaride
Bila ya wewe mimi siwezi kuishi, ni sawa na kukosa posho na mshahara
Nakuheshimu kama ninavyoheshimu gwanda langu
Wewe ndio IGP wa moyo wangu...CDF wa maisha yangu
Moyo wangu ulikuwa umevunjwa kama kota za polisi
ila umeupendezesha zaidi ya kambi ya Lugalo!
Usiwaambie kama una mandingo please nna moyo wa kuvumilia kuona wallet yako inagombaniwa sio mandingoUmeanza pesa umekuja mandingo....nimebarikiwa sekta zote aisee.
Ulichezea bahati kwa Mjeda yule, ukachezea bahati kwa Kipaji Halisi, Mtambuzi alitaka kukufanya nyumba ndogo sijui mke mdogo ukaringa, sasa umebaki unalilia celica!!!!
Nakuomba utulie na mie huko kwingine watakuvuruga vuruga kama elimu bure, na wakutelekeze kama shule za kata
Hahahaaaa!! Jiandae kubakia kipisi.Atoto unajifanya hujaona hiii eti...
Hahahaaaa!! Chaki bwana!
Sikushangai...
Asee live my scheme of work alone!!!!!Hahahaaaa!! Chaki bwana!
Hivi unajua niliachikaga sababu yako lakini hata kusema uwe unanitumia vimpesa holaaaa.
Hivi unajua niliachikaga sababu yako lakini hata kusema uwe unanitumia vimpesa holaaaa.
Ama kweli nimeamini mtu anakupenda kama hapati majukumu
Mie sio mchokozi hata kidogo.
Halafu chanzo ni wewe....