Verossa

Hahaaaaa!!! Ndo ashaambiwa yeye ndio chaki yake.
 
Ahsanta kwa taarifa.

Filed.
 
😀😀😀😀😀
Haya sio maneno ya kumwambia shemeji ako asee, umenikwaza mnooo kiasi kwamba nakuona kamatia mwanafunzi wa Mbeya Day
Mie nimekolezea tu fasihi yako jamani, huyu shemeji we mtumie tu maana ndio chaki yako, ukimaliza futa ubao chukua chaki nyingine.
 
Wewe ndiwe lindo langu, daima nitakulinda
nakupenda kuliko posho yangu
wewe ndiwe staff shoes zangu, sihitaji kiwi wang'aa kama jua
infact, pendo lako latosha kung'arisha viatu vyangu.
😀😀😀😀😀
Inside a verossa nimeokota bonge la bwana lol
 
Wewe ndiwe lindo langu, daima nitakulinda
nakupenda kuliko posho yangu
wewe ndiwe staff shoes zangu, sihitaji kiwi wang'aa kama jua
infact, pendo lako latosha kung'arisha viatu vyangu.
Mapenzi yakiwa mapya bwana
 
Mentor mpenzi mie ni mti wenye matunda usitie shaka kuona nashambuliwa, naomba uniweke kwenye MAHABUSU YA MOYO WAKO TU panatosha

Naam nami naomba unipende kama mwanafunzi yule mtiifu
wewe ndo mwalimu mkuu wa moyo wangu!

collabo yangu na wewe lazima wanafunzi wanyoke;

siku nikiwa off nakuazima swagger cane yangu na kirungu..


[HASHTAG]#perfectCOMBO[/HASHTAG]
 

Hahahahahha....jamani Celica yangu, ndo kitanda changu na ndo my everything.
Hahahaha Kipaji Halisi yupo tu?
Nimemmiss sana mwambie.

Unajua mwanafunzi wangu wewe nikueleze kitu, mwanamke anataka mandingo, pesa ni nyongeza tu.
Hata uwe na pesa gunia, kama huna 'kufaa madhubuti', utasaidiwa tu na wenzio.
 
Naam nami naomba unipende kama mwanafunzi yule mtiifu
wewe ndo mwalimu mkuu wa moyo wangu!

collabo yangu na wewe lazima wanafunzi wanyoke;

siku nikiwa off nakuazima swagger cane yangu na kirungu..


[HASHTAG]#perfectCOMBO[/HASHTAG]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

hii kweli perfect combo
 
Naridhika hata kwa mbilimbi usinisemee asee
 

Umeanza pesa umekuja mandingo....nimebarikiwa sekta zote aisee.

Ulichezea bahati kwa Mjeda yule, ukachezea bahati kwa Kipaji Halisi, Mtambuzi alitaka kukufanya nyumba ndogo sijui mke mdogo ukaringa, sasa umebaki unalilia celica!!!!
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEREEEEE!!!!!!
MTU NA SALOME WAKE!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…