Verossa

Verossa

kuna uhusiano kwa kweli sijui kwa nn wadada wana special affection na verossa.... nilikua kwenye gari na mtu wangu gafla akaniuliza kuna gari zinaitwa verossa vp huzipendi well nikachukulia ni swali tu la kawaida nikamwambia siyapendi infact siyapend kwan napenda sports car ila kila siku zinavyoenda na wadada wanavyoyapenda hayo ma verossa naanza kupata picha wana special affection nayo!!
 
Mentor hii ni karibia mara ya 20 plus nasoma hili shairi na kila nikilisoma nahisi machozi yananitoka na ninaumia moyo sana, jus for no reason!!! Kila aya na kila herufi imebeba ujumbe mzito, natamani sana kila mwana JF angelisoma taratibu na kulielewa hili shairi. Kwangu mimi ndio Thread ya Mwaka.......thank you Mentor
 
Last edited by a moderator:
Mentor hii ni karibia mara ya 20 plus nasoma hili shairi na kila nikilisoma nahisi machozi yananitoka na ninaumia moyo sana, jus for no reason!!! Kila aya na kila herufi imebeba ujumbe mzito, natamani sana kila mwana JF angelisoma taratibu na kulielewa hili shairi. Kwangu mimi ndio Thread ya Mwaka.......thank you Mentor

I am humbled *20 times plus...thanks Elli!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom