Brevis ni jini. Zote ni engine kubwa yaani cc above2500. Kwa matumizi ya mjini haina maana yoyote. Kwanza ni gari ambayo iko chini kwa maana sawa tu na GX100,110 za kawaida nje ya Verossa nk. Kama kigezo ni mbio sawa. Lakini kwa mjini mbio za kuelekea wapi? Kama ni mtu wa trip za mara kwa mara chukua hiyo, kwa maana kama unapenda ligi barabara kuu, huwez kuonewa. Naamini Brevis ni more modern than Verossa lakin siyo economical. Watu wengi hununua gari zenye cc kubwa hasa kama tu liko juu angalau kukwepa kugusa chini.
Sasa gari CC ni kubwa sawa na gari kubwa lakini liko chini, haina maana sana. Uumie ukubwa wa Engine kwa gari kuwa juu, kuwa na 4WD. Lakini gari engine kubwa lakini zinagusa chini, tuta unalilia timing kama vile ni ti, si, premio, baby walker aka IST, na mengine madogo inakuwa haina maana sana.